mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Marekani iko katika vita ya kiuchumi na kijeshi na China lakini haiko tayari kutumia mikono na damu ya Wamarekani, kama ilivyokuwa kwenye vita ya kiuchumi na kijeshi na Urusi lakini haikuwa tayari kutumia mikono na damu ya Wamarekani.
Kama ambavyo Ukraine iliingizwa mkenge ikajikuta katika mdomo wa Urusi, lengo likiwa ni kuidhoofisha Urusi kijeshi na kiuchumi, hali kadhalika si ajabu Taiwan inaweza kuingizwa mkenge ikajikuta iko kwenye mdomo wa China!!
Ili kufanikisha malengo yake iko tayari kutoa silaha na pesa zote zinazohitajika ili zitumiwe na mikono na damu ya wengine! Ila kibaya ni kuwa hizi silaha na pesa si za bure!! ni mkopo nwa muda mrefu na lazima urudishwe na riba juu. Marekani wako mkwenye biashara!! Ndio maana marekani inaipa Ukraine silaha na pesa kama haina akili nzuri vile lakini hizo pesa zitarudi na faida juu!! Lakini ukraine imepoteza maefu ya askari na raia na sehemu kubwa ya ardhi yake imekaliwa na Urusi jumla!!
Marekani haiwezi kuihurumia Taiwan itakapopigwa na China ili mradi tu malengo ya kuidhoofisha China kiuchumi na kijeshi yatakuwa yanafikiwa!! Ndio maana Marekani inaumia sana kuona Uchumi wa Urusi haujaathirika kivile kama ilivyotarajia. Lakini kilichoiokoa Urusi ni kuwa na mali asili ambazo zinategemewa sana duniani na hazina mbadala kwa urahisi. Tofauti na China, yenyewe China inategemea zaidi kuuza bidhaa ambazo zinaweza kuwa na mbadala kwa urahisi!
Kama ambavyo Ukraine iliingizwa mkenge ikajikuta katika mdomo wa Urusi, lengo likiwa ni kuidhoofisha Urusi kijeshi na kiuchumi, hali kadhalika si ajabu Taiwan inaweza kuingizwa mkenge ikajikuta iko kwenye mdomo wa China!!
Ili kufanikisha malengo yake iko tayari kutoa silaha na pesa zote zinazohitajika ili zitumiwe na mikono na damu ya wengine! Ila kibaya ni kuwa hizi silaha na pesa si za bure!! ni mkopo nwa muda mrefu na lazima urudishwe na riba juu. Marekani wako mkwenye biashara!! Ndio maana marekani inaipa Ukraine silaha na pesa kama haina akili nzuri vile lakini hizo pesa zitarudi na faida juu!! Lakini ukraine imepoteza maefu ya askari na raia na sehemu kubwa ya ardhi yake imekaliwa na Urusi jumla!!
Marekani haiwezi kuihurumia Taiwan itakapopigwa na China ili mradi tu malengo ya kuidhoofisha China kiuchumi na kijeshi yatakuwa yanafikiwa!! Ndio maana Marekani inaumia sana kuona Uchumi wa Urusi haujaathirika kivile kama ilivyotarajia. Lakini kilichoiokoa Urusi ni kuwa na mali asili ambazo zinategemewa sana duniani na hazina mbadala kwa urahisi. Tofauti na China, yenyewe China inategemea zaidi kuuza bidhaa ambazo zinaweza kuwa na mbadala kwa urahisi!