Bora china ikichukue kisiwa hicho kijeshi kwani ubebetu wa marekani utazidi kuleta chokochoko na kuweka mazingira magumu kutumia nguvu kwa siku za usoni.
Watu wa taiwan watazidi kuchanganywa na media ya taiwai iliyohodhiwa na vibaraka wa marekani na kuwachagua viongozi wapinga uchina.