- Thread starter
- #21
Karibu Mdosi wa k/koo,jisikie upo TAJ MAHAL india.Sisi wadosi wa kariakoo tuna comment wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu Mdosi wa k/koo,jisikie upo TAJ MAHAL india.Sisi wadosi wa kariakoo tuna comment wapi?
Hilo nalikubali maana hadi leo unaenakana ni latest eti..lakini mkuu kwenye TAJ MAHAL ni tofauti,ule uhandisi uliotumika pale ulikuwa ni wa mbele ya wakati..
tena kama hao wahindi wala hawajihangaishi kuandika mambo yetu, lakini sisi sasa......Umaskini Mbaya sana,wenzetu wazungu wanakuja kwetu kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini mwetu,ila sisi tunaishia kusoma tu.
Matangazo,utamaduni na upatikanaji wa taarifa.Mimi nimeandika kuhusu Taj Mahal lakini sijawahi kuiona wala kufika India sababu yapo mengi yaliyoandikwa kuhusu Taj Mahal. Lakini unaweza taka kuandika kitu au kujifunza kuhusu Serengeti ukakosa vyanzo vya taarifa sababu ni machache tunayoweka kwenye maandishi,na mbaya zaidi tukiandika basi ni vitabu na magazeti mitandaoni hatuweki.tena kama hao wahindi wala hawajihangaishi kuandika mambo yetu, lakini sisi sasa......