greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
- Thread starter
- #41
Sijawahi ijua hiyoLaurel and Hardy.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi ijua hiyoLaurel and Hardy.
Hii ni commando ya frank zagarino.Mavetii Mavetiiii yatanikoma komaaa
Hapana, hiyo ni commando ya fank zagarino, hapo anashuka kwenye kamba, huku anawamwagia njugu mavetnam.Hii siyo MISSING IN ACTION ya CHUCK NORIS
Sijawahi iona hii...though hiyo a.k.a nimeskia sanaYeah Army of darkness 1993
Army of darkness hiyo mzee.Jeshi la wafu....?
Ni deadly prey
Okay....Movie inaitwa STRIKER...Hapana, hiyo ni commando ya fank zagarino, hapo anashuka kwenye kamba, huku anawamwagia njugu mavetnam.
achana naye huyo... uzi bora sana huu.. nmepata Majina mengi ya movieOld times memories....
kwa siye watoto wa uswazi,tulikuwa hatujui ngeli kabisa,,,watu wanatamani wazione hizo movies ila wanashindwa kuandika majina sahihi huko mtandaoni...
Frank zagarino hajacheza kwenye deadly prey, alikuwa nani, starring mule ni ted prior, akitumia jina la mikeOkay....Movie inaitwa STRIKER...
Huyo Zagarino ndiyo wa kwenye
Komando kipensi na ni adui wa kwenye movi e ya No retreat No surrender...
my Bad,,,,nimedakwa,,,,ilikuwa ni Project shadowchaser 1,2 na 3Frank zagarino hajacheza kwenye deadly prey, alikuwa nani, starring mule ni ted prior, akitumia jina la mike
Ni adui kwenye no retreat no surrender ipi mkuu.. Maana ya kwanza adui ni van damme, ya 2 adui ni mattias hues, ya 3 adui rion hunter kama sijakosea spellings.
Utakua umeiona jamaa anaharbika mkono baada ya kung'atwa deadlies atakata kiganja ataweka chainsawa then huku anaa bunduki na kuna kitabu kikifunguka kikigomea ukurasa ndo kinachotokeaSijawahi iona hii...though hiyo a.k.a nimeskia sana
Ni koyla ya sharukh khan mkuu!?Alman Koyla....?
Movie la kihindi hili...
Hapana, hilo kuna masterimgi wemgi wa kihindi, sunny deo, sunili, akshay na wengine kibao.Ni koyla ya sharukh khan mkuu!?
Nimetazama vyema kumbe inaitwa Striker bhaaana.Hii ni commando ya frank zagarino.
Ni sahihi, nilikosea, naandika movie ya zagarino, akilini naikumbuka commando ya anorldNimetazama vyema kumbe inaitwa Striker bhaaana.
Yesss....Hapana, hilo kuna masterimgi wemgi wa kihindi, sunny deo, sunili, akshay na wengine kibao.