greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
- Thread starter
-
- #61
Nop sijaionaUtakua umeiona jamaa anaharbika mkono baada ya kung'atwa deadlies atakata kiganja ataweka chainsawa then huku anaa bunduki na kuna kitabu kikifunguka kikigomea ukurasa ndo kinachotokea
Nop sijaiona
Ni kitu kama jaan dushman, ama jandushmani.. Jaribu kucheki hilo la jan dushmanYesss....
Nalitafuta hilo dude,sema jina sasa
Jaan dushman😀Hapana, hilo kuna masterimgi wemgi wa kihindi, sunny deo, sunili, akshay na wengine kibao.
The mummy(Ya Jack Chan)Jeshi la Wafu
From DusK Till DawN. Quentin Tarantino kwenye moja na mbili hatoki mtu Giza likiingia.Santamigo santamunioni
Na hzo nyngne juuFrom DusK Till DawN. Quentin Tarantino kwenye moja na mbili hatoki mtu Giza likiingia.
Mbaruku Tall hii movie ya bruce ms****mge anapiga vbya ana afro hv jina Game of death( Yule jamaa tall alikua anitwa Kareem jabbar) ila wali act hong kong km sikoseiMbaruku tolu
Umetisha mjukuu wa LufufuMbaruku Tall hii movie ya bruce ms****mge anapiga vbya ana afro hv jina Game of death( Yule jamaa tall alikua anitwa Kareem jabbar) ila wali act hong kong km sikosei
DuhKIpanya msosi