Taja aina ya muziki usioupenda

Taja aina ya muziki usioupenda

Amapiano, Trap, Bongo fleva za Kishogashoga mfano kina Zuchu, kusah, jaymelody, lavalava na wengine wa uimbaji wa aina hiyo.
Du! Kumbe watu wengi huu muziki wa bongofleva hauwaingii akilini? Nilifikiri ni mimi tu.
 
Du! Kumbe watu wengi huu muziki wa bongofleva hauwaingii akilini? Nilifikiri ni mimi tu.
Siuelew kabisa kaka labda uniletee zile walizofanya watu timamu kama kina Joseline, Line, Jaydee, Bell 9, Dullayo, nk.
 
Siuelew kabisa kaka labda uniletee zile walizofanya watu timamu kama kina Joseline, Line, Jaydee, Bell 9, Dullayo, nk.
Na pia miziki ya akina Sugu na Profesa J ina mashairi yanayoeleweka mkuu.
 
Hahaha! Amapiano ni muziki wa aina gani mkuu? Unaweza kuweka mfano tuusikie? Inaonekana watu wengi hawapendi aina hii ya muziki.
Ule wa south Afrika..
Sasa now umefika bongo hapa hovyo kabisa 😂😂😂😁
 
Binafs nasikiliza...
1.Country
2.Reggae.
3.Hiphop.

Mara chache..
Bakurutu, Softlocks, RNB nk

Ukinikuta nje ya hapo basi kuna uniqueness nimeiona katika uimbaji wa msanii husika, huwa siwez kujinafikia nikuuelewa mziki hata kama ni singeli nasikiliza.

Ila Piano, Bongofleva za kileo, trap na ujinga mwingine NEVAAA.
 
Unadhani ni nini kilichoharibu muziki wa bongoflrva wa kisasa mkuu?
ku-sample na kuiga kumekuwa kwingi mno, unasikiliza wimbo mwanzoni lakini hujui ni wa nani, melody inafanana, beat inafanana au wimbo utolewe vocals basi haujulikani nani kaimba

tech imekuwa, electronic beats ndiyo zimepamba moto, PC inamaliza kitu kitu
ladha za instrumental beats huzisikii tena

kizamani, wimbo unasukwa na instrumentalist mpaka watatu, kuna mpiga drums hapo, kuna mpiga keyboard, kuna guitarist, kuna producer, na ni Bongo Fleva hiyo, ladha halisi za keys na strings unazisikia mpaka ndani kwenye mifupa
 
Aina zote za muziki nasikiliza ikitegemea ndani ya muda niko na mood ya aina gani ya muziki isipokuwa taarabu

Ila nakubaliana na NAS alipoimba Hip Hop is dead hiki kizazi kipya cha young rappers wa Marekani sijawahi kuulewa muziki wao
 
Bora usikipende kitu ila usikichukie. Chuki huongeza gadhabu hata pale wengine wakiwa wanakitumia.
Mfano kutopenda aina fulani ya chakula ni sawa, lakini sio kukichukia kwani hujui kitakustiri vipi mbeleni.
Vivo hivyo mziki hutokana na mapokezi ya mtu binafsi na kama utakuwa na chuki na aina fulanj ya mziki si ajabu utaanza kuweka vikwazo katika uzao wako.

Kikubwa waachie Piano wenye Piano lao, ukibaki na Reggae baki nalo
 
Binafs nasikiliza...
1.Country
2.Reggae.
3.Hiphop.

Mara chache..
Bakurutu, Softlocks, RNB nk

Ukinikuta nje ya hapo basi kuna uniqueness nimeiona katika uimbaji wa msanii husika, huwa siwez kujinafikia nikuuelewa mziki hata kama ni singeli nasikiliza.

Ila Piano, Bongofleva za kileo, trap na ujinga mwingine NEVAAA.
Hapo umenena mkuu. Kumbe tupo wengi.
 
Aina zote za muziki nasikiliza ikitegemea ndani ya muda niko na mood ya aina gani ya muziki isipokuwa taarabu

Ila nakubaliana na NAS alipoimba Hip Hop is dead hiki kizazi kipya cha young rappers wa Marekani sijawahi kuulewa muziki wao
Yaani kuna siku nilishuhudia watu wakiburudika na muziki wao lakini mm kila nikijaribu kusikiliza kama walau naweza kuambulia hata neno moja tu supatu kitu. Nilichokuwa nasikia tu ni: Selemani weee Selee.....tangu mwanzo hadi mwisho wa track. Nilisikitika sana junsi kizazi cha siku hizi kilivyotuharubua ladha ya muziki.
 
ku-sample na kuiga kumekuwa kwingi mno, unasikiliza wimbo mwanzoni lakini hujui ni wa nani, melody inafanana, beat inafanana au wimbo utolewe vocals basi haujulikani nani kaimba

tech imekuwa, electronic beats ndiyo zimepamba moto, PC inamaliza kitu kitu
ladha za instrumental beats huzisikii tena

kizamani, wimbo unasukwa na instrumentalist mpaka watatu, kuna mpiga drums hapo, kuna mpiga keyboard, kuna guitarist, kuna producer, na ni Bongo Fleva hiyo, ladha halisi za keys na strings unazisikia mpaka ndani kwenye mifupa
Kweli kabisa mkuu. Umegusa mulemule.
 
Back
Top Bottom