[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lakini Jael ujuwe kupenda ni kitendo kitakatifu eeh!
[emoji848][emoji848][emoji848]
Taja jina moja unalovutiwa na avatar yake na vijimaelezo kidogo vya kusindikiza..
Mimi naanza na huyu manzi wakuitwa PAULA PAUL aisee mi nikionaga avatar yake tu basi mie hoi aisee mwili na viungo vinakosa ushirikiano..na inaonekana hata alivyo toto moja zuri sana mtepetepe fulani ivi halafu wakishua..kasoro yake moja tu inaonesha mtu wa maringo sana na viingereza vingi kama vyakina wema sepetu
View attachment 1629935
Itakuwa mimi au nmenisahauKuna mmoja siwezi mtaja, kaweka avatar ya ajabu yaani haina mvuto walaqhi, ila vile I am crushing on him huwa najikuta na fall in love na ile avatar yake kila nikiiona..!! [emoji23]
Naacha je kukupenda mremboo?Siku hizi hunipendi tena?umehamisha upendo kwenye avatar ee?
pole best tuvumilie tu huenda tukaonekana kwenye page ya mwishoPage ya 10 hii sijatajwa
duh aisee kweli wengine wasindikizaji tu humu, basi ngoja niendelee na kazi yangu ya kusoma comments
Kwamba hata mimi nakupenda[emoji8][emoji28][emoji28][emoji28]
Unataka kusemaje sasa?
Mmmmh!! Hebu sema unachotaka kusema babe, acha kunifunga kamba.Kwamba hata mimi nakupenda[emoji8]
Kweli kabisapole best tuvumilie tu huenda tukaonekana kwenye page ya mwisho
teh teh
Nitaje nivimbeKuna mmoja siwezi mtaja, kaweka avatar ya ajabu yaani haina mvuto walaqhi, ila vile I am crushing on him huwa najikuta na fall in love na ile avatar yake kila nikiiona..!! 😂
itabidi nije pm niijue hiyo zawadi nonoTangu lini zawadi nono ikatangazwa?😅jaribu bahati jombaa