[emoji122][emoji122] hope ipo siku tutakutana physically niweze kusadifu hizi imaginations zangu.Ooooh!!!! Ahsante sana jamani.. Sifa umenipa hizi@PTER umeifanya Weekend yangu kuanza vizuri kabisa.
Ahhaha mi katoto ee[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Acha wivu yako inazidi zote [emoji7][emoji7][emoji7]
Haha, mimi sio mfujaji ujue, ningekula kidogo tuAhhhh the queen [emoji146] The Happiness ningekuacha hapo kwenye list ungekula hela ya ujenzi yote sijui tungelala wapi,
Halafu sijui nimekusahau vipi kukutaja[emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]@Makiseo dada yangu kipenzi hebu njoo huku utimize ndoto ya mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122] hope ipo siku tutakutana physically niweze kusadifu hizi imaginations zangu.
Rudisha avatar yako basi...ile ya black and white.Halafu sijui nimekusahau vipi kukutaja[emoji7]
Ipi??Rudisha avatar yako basi...ile ya black and white.
Heheheeeeeeeeeeee...basta kwahiyo mimi ni maharage si ndioWanasema kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake.
Ya nywele nadhani.Ipi??
Mimi nimeweka Avatar nyingi Sana humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amen.... Amen.Mungu muweza wa yote atajalia na hili ataliwezesha.
Tuombe uzima