Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,725
- 21,818
Nishapatikana....njoo unidanganye basi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishapatikana....njoo unidanganye basi.
Leo nafufuka rasmi....mpaka.mtakatifu Anne umenikumbuka....
Asante kipenziii....[emoji7][emoji3059]
Hivi huu utaratibu wa kuitana kipenzi unaruhusiwa kwa wanawake tu?Nimekukumbuka mpenzi[emoji7][emoji8]
Ka Avatar kako kananivutia,natamani nikuone hata PM [emoji7]
EheeZawadi nono
Tehteh...kaa kitakoNishapatikana....njoo unidanganye basi.
karibu tena rafiki yanguHahahaha, dah ,ahsante Rafiki
Lini utaacha mitongozo hewa lakini?Wala sijawa mwongo.... nadhani kati comments za siku yangu ya leo....hii ndiyo iliyojaa ukweli mtupu ndani yake.
Nipo....you look cute...
Siku ukiamua kunikubalia naapa naacha...Lini utaacha mitongozo hewa lakini?
Naomba nikuone[emoji23][emoji23]Hivi huu utaratibu wa kuitana kipenzi unaruhusiwa kwa wanawake tu?
Anne hutaki kuniona nami PM?[emoji6]
Wewe achana na Avatar..nataka nikuone wewe kama wewePM yangu anayo Daby ....
Halafu sifananiii hata....
Oouh....Naomba nikuone[emoji23][emoji23]
Huu utaratibu unaruhusiwa,hata wewe naweza kuita mpenzi
We mwache tu.demu gani anabeti daily kwenye ule uzi wa wazee wa kazi..hhaahah..mwambie ndugu yako atapotezwaKuna wadau wanasema ni mwanaume sasa kuwa makini
Endelea na mdogo wanguSiku ukiamua kunikubalia naapa naacha...
Sema ndiyo umenikubalia uone kama nitaendelea.
Nilipoishia na wewe? Au tuanze upya?Endelea na mdogo wangu
Saint Anne ...
Anza upya....kwani umesikia sisi mapacha?Nilipoishia na wewe? Au tuanze upya?
Anza wewe kutuma[emoji23][emoji23]Oouh....
Haya fanya kutuma picha yako kwa ID ya B....kish nitakuforward-a yangu.
Hahaha!Endelea na mdogo wangu
Saint Anne ...
Ili kunirahisishia kazi...maana wewe umenisumbua muda mrefu.Anza upya....kwani umesikia sisi mapacha?