Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Haha, mimi sio mfujaji ujue, ningekula kidogo tu
Nakupendea hapo tu my queen [emoji146] The Happiness , una nidhamu sana na pesa tutaishi maisha marefu sana maana fedha haijwahi kututenganisha [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji485], tumalize ujenzi madale tukaishi kama king [emoji146] and queen [emoji146]
 
Back
Top Bottom