Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Kamba hii..Yako kiboko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2296][emoji2296]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamba hii..Yako kiboko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2296][emoji2296]
Usiache hata nusu ukila malizaNifanye nini jamani na moyo unaenda kasi [emoji23][emoji23]
Nachukua ushauri kamili hapa 😜😜😜Usiache hata nusu ukila maliza
Wala hujawa katoto jamani si unajua ninavyokuusudu [emoji7][emoji7][emoji7], naanzia wapi kukupoteza kwa uongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], mwanamke mapishi banah, sema siku hizi unanikwaza hunipikii nakula vya mgahawani,Ahhaha mi katoto ee
Kakufanya mfano wa maharagweHeheheeeeeeeeeeee...basta kwahiyo mimi ni maharage si ndio
Hahahaha itabidi tuanze upya kupikaWala hujawa katoto jamani si unajua ninavyokuusudu [emoji7][emoji7][emoji7], naanzia wapi kukupoteza kwa uongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], mwanamke mapishi banah, sema siku hizi unanikwaza hunipikii nakula vya mgahawani,
Mhmhhh wewe huyoIpi??
Mimi nimeweka Avatar nyingi Sana humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kamanda siku hizi umenipotea[emoji7][emoji120]
Ila inayeyuka haraka.Barafu hiyo ina kazi nyingi [emoji12]
Nakupendea hapo tu my queen [emoji146] The Happiness , una nidhamu sana na pesa tutaishi maisha marefu sana maana fedha haijwahi kututenganisha [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji485], tumalize ujenzi madale tukaishi kama king [emoji146] and queen [emoji146]Haha, mimi sio mfujaji ujue, ningekula kidogo tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naipataje sasa hiyo zawadi yangu Ushimen .tena mapengo yako yanauchakaza sana moyo wangu ujue [emoji3059][emoji3059]
Kamba au uzi [emoji12][emoji12][emoji12]Kamba hii..
Haya masikitiko niliyonayo ya kufananishwa na maharage ni ya kiwango cha juu mno.🥺🥺🥺mpka nibembelezwe haki tenaKakufanya mfano wa maharagwe
Kamba au uzi [emoji12][emoji12][emoji12]Kamba hii..
Kamba au uzi [emoji12][emoji12][emoji12]
Hivi jirani kweli unamzingua jirani yako hivi hiviMnyororo kabisa
Ikiyeyuka inakua maji, na maji ni uhai [emoji39]Ila inayeyuka haraka.
Wewe tu cha uvivuHahahaha itabidi tuanze upya kupika
Hongera kwa atakayeibuka mshindiEhee