Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, miandiko eeh haya but kuna meseji inapita ktk hiyo miandiko[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mtu chake bhana...hakuna cha kukazia mbona.hiyo ni miandiko hakuna cha maana chochote
% kubwa hilo halina ubishi...sio mtazamaji tu...pia ukiwa makini usiwe msahaulifu😆😆😆😆Siku zote, humu kuna mambo mengi ,ukiwa mtazamaji una enjoy sana
😅😅😅😅 si ni urelax baba...😃😃usiache na wewe endelea bhana...Hahahaha, Rafiki bana
Uchokozi kivipi ? OK naacha basi
Uzi unazungumzia avatar jamani.kwahiyo kuna uwezekano ukavurugwa na avatar mtu mwenyewe usimuelewe wala nini😅😅😅😅Hahahaha, miandiko eeh haya but kuna meseji inapita ktk hiyo miandiko
Mm jambo langu humu ni moja tu, kusoma na kutazama tu yanayojiri% kubwa hilo halina ubishi...sio mtazamaji tu...pia ukiwa makini usiwe msahaulifu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ninaimani katika hayo mambo mengi wewe haupo si ndio!!
Hahahaha, sidhani lknUzi unazungumzia avatar jamani.kwahiyo kuna uwezekano ukavurugwa na avatar mtu mwenyewe usimuelewe wala nini[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Niendelee kuwa mchokozi ? acha nikae kimya Rafiki , watu wajiachie vzr[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] si ni urelax baba...[emoji2][emoji2]usiache na wewe endelea bhana...
Bora umekuja ,uendeleeNapita tu......
Mm jambo langu humu ni moja tu, kusoma na kutazama tu yanayojiri
Aendelee wapiBora umekuja ,uendelee
Inawezekana kabisa mbona rafiki yanguHahahaha, sidhani lkn
Wacha weee...unataka uendelee kuchora watu eeNiendelee kuwa mchokozi ? acha nikae kimya Rafiki , watu wajiachie vzr
Unapita unaenda wapi?Napita tu......
Hahahaha, watu na watu wao , wachagua na wachaguliwa avatarWacha weee...unataka uendelee kuchora watu ee
Mlipoishia Jana mie nimevamia tuAendelee wapi
Hakuna sehemu tulipoishia bhana unamchumia dhambi bure mzee wa misosiMlipoishia Jana mie nimevamia tu
Hahahaha, duh hapa kuamini ni ngumu, page ya #544 ndio unanikumbuka ,mmmh haya ,ahsante RafikiView attachment 1632001
mtu chake avatar yako huwa inauvurugaga ubongo wangu.naomba utambue hilo [emoji4]
Ooh OK, naomba Mnisamehe, nafuta hy kauli , nisije kuharibu bureHakuna sehemu tulipoishia bhana unamchumia dhambi bure mzee wa misosi