Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Zipo, hadi double kick, rivela,kitoko, shots za k vant
87350959-1BE4-4F31-B56C-5607C0991AB7.jpeg
Naibuka now now
1294D580-F2C7-4102-B3DF-C5A02A1541BF.jpeg
 
Hahahaha, Rafiki bana

We umesema ana avatar ya muigizaji ujue,
Wewe yako ni spesho rafiki yangu.
Hakuna mtu mwingine humu ndani ninaemwita Rafik kipenzi..ni wewe tu..🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️

Kwahiyo popote ukiona “rafiki yangu”jua ni wewe tu🥂🥂
 
Wewe yako ni spesho rafiki yangu.
Hakuna mtu mwingine humu ndani ninaemwita Rafik kipenzi..ni wewe tu..[emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]

Kwahiyo popote ukiona “rafiki yangu”jua ni wewe tu[emoji1635][emoji1635]
Ooh ahsante sana Rafiki kipenzi, ila hata hy avatar usemayo nayo ...mpk umeitaja Rafiki na zawadi kuweka
 
Wengi humu hatujuani lakini tunafanya imagination tu kwamba mtu fulani atakuwa wa ivi sana sana imagination inakujia kutokana na majina wanayotumia watu, avatar na michango ya mhusika.

Leo tuangalie avatar na michango ambayo inachukua nafasi katika kuwakilisha muonekano wako.

Taja jina moja unalovutiwa na avatar yake na vijimaelezo kidogo vya kusindikiza..
Mimi naanza na huyu manzi wakuitwa PAULA PAUL aisee mi nikionaga avatar yake tu basi mie hoi aisee mwili na viungo vinakosa ushirikiano..na inaonekana hata alivyo toto moja zuri sana mtepetepe fulani ivi halafu wakishua..kasoro yake moja tu inaonesha mtu wa maringo sana na viingereza vingi kama vyakina wema sepetu

View attachment 1629935
[emoji1435][emoji1435][emoji1435][emoji1435]
 
Huyu dada sijui ako na Nini. Kila mtu anavutiwa nae, bora tuendelee kua na fake I'd mfano mume wake akiyapata haya si anatafuta binduki!
Hahaha huyu mdada ana nyota kali sana
 
Back
Top Bottom