Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Sitaki upate tabu leo tunalinda wote lindo.andaa makoti,rungu,nyundo na mengineyo.Rafiki mtaje huyu mm ,niendelee kula ugimbi kwa mangi hapa,nianze lindo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki upate tabu leo tunalinda wote lindo.andaa makoti,rungu,nyundo na mengineyo.Rafiki mtaje huyu mm ,niendelee kula ugimbi kwa mangi hapa,nianze lindo
Zipo, hadi double kick, rivela,kitoko, shots za k vant
Hakuna chenga rafiki yangu huo ndo ukweli🤪🤪🤪Hahahaha, nishapigwa chenga ya mwili, acha nikubali
Wewe yako ni spesho rafiki yangu.Hahahaha, Rafiki bana
We umesema ana avatar ya muigizaji ujue,
Mpka sasa hivi Rafik yangu umegundua nini??Hahahaha, umemsoma eeh , halafu huu Uzi usome vzr kisha fuatilia vzr zaidi, utagundua kitu
Ooh ahsante sana Rafiki kipenzi, ila hata hy avatar usemayo nayo ...mpk umeitaja Rafiki na zawadi kuwekaWewe yako ni spesho rafiki yangu.
Hakuna mtu mwingine humu ndani ninaemwita Rafik kipenzi..ni wewe tu..[emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Kwahiyo popote ukiona “rafiki yangu”jua ni wewe tu[emoji1635][emoji1635]
Rafiki hata wewe huoni ?Mpka sasa hivi Rafik yangu umegundua nini??
Sawa Rafiki sijabishaHakuna chenga rafiki yangu huo ndo ukweli[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Vifaa vyote vipo kamiliSitaki upate tabu leo tunalinda wote lindo.andaa makoti,rungu,nyundo na mengineyo.
Na hata sidhani kama anajua kuwa ninaizimia avatar yake loh.Ooh ahsante sana Rafiki kipenzi, ila hata hy avatar usemayo nayo ...mpk umeitaja Rafiki na zawadi kuweka
Naona maruwe ruwe rafiki yangu.wewe kunakitu utakuwa umeona hebu nitonye..Rafiki hata wewe huoni ?
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂😘😘Sawa Rafiki sijabisha
Safiiii...lindo lina anza saa ngapi babaVifaa vyote vipo kamili
Ni Iceberg9 (Henry Cavill)[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]ujue umezisumbua mbavu zangu extro.
Aiseh hiyo avatar ya huyo Chief hapo naikubali sana..nikikuta kwenye movie yupo nakaa kitabu kuitazama.DW[emoji8].
Bado moja hiyo ambayo niliikusudia mwanzo kabla Hujamweka DW
Shukrani mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaan zote hizi zinakusisimuaa [emoji2303][emoji2303][emoji2303] Si unasisimka mno jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1435][emoji1435][emoji1435][emoji1435]Wengi humu hatujuani lakini tunafanya imagination tu kwamba mtu fulani atakuwa wa ivi sana sana imagination inakujia kutokana na majina wanayotumia watu, avatar na michango ya mhusika.
Leo tuangalie avatar na michango ambayo inachukua nafasi katika kuwakilisha muonekano wako.
Taja jina moja unalovutiwa na avatar yake na vijimaelezo kidogo vya kusindikiza..
Mimi naanza na huyu manzi wakuitwa PAULA PAUL aisee mi nikionaga avatar yake tu basi mie hoi aisee mwili na viungo vinakosa ushirikiano..na inaonekana hata alivyo toto moja zuri sana mtepetepe fulani ivi halafu wakishua..kasoro yake moja tu inaonesha mtu wa maringo sana na viingereza vingi kama vyakina wema sepetu
View attachment 1629935