Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, haya Rafiki ,mtaje nami nimjue maana dah na hamu ya kumjua kweli kweliUpako uko njiani rafiki yangu.
Nakuja sasa hivi rafiki kipenzi [emoji3344][emoji3344]
nilipokutaja nikuite tenaHahahaha, kwani mm Nina avatar ya muigizaji wa kiume wa movies?
HahahahaNgoja niende
nilipokutaja nikuite tena
M...
Hajaweka avatar but i love all of him.
Dah.... Watu wana bahati jamanii
Ahsante mkuu nimefika
......[emoji1635]
Rafiki mie nasubiri hapa ,nimjue huyu nakuombea upako ktk hili , walau lkn umenipa assignment kujua hii avatarSiwezi mtaja lakini kaweka avatar ya muigizaji wa kiume(mmarekani)movie zake huwa ninazipenda sana.atakaepatia ni nani zawadi nono nitatoa[emoji41]
Haya namtaja kaeni kimya.Hahahaha, haya Rafiki ,mtaje nami nimjue maana dah na hamu ya kumjua kweli kweli
Karibu Mangi anasinzia hapa
Hahahaha, Niko kimyaHaya namtaja kaeni kimya.
Ye naeee...mwambie huyo Mangi aache mambo ya ajabu nakuja sasahivi anasinziaje kiboya namna hiyo??
Rafiki mtaje huyu mm ,niendelee kula ugimbi kwa mangi hapa,nianze lindoSiwezi mtaja lakini kaweka avatar ya muigizaji wa kiume(mmarekani)movie zake huwa ninazipenda sana.atakaepatia ni nani zawadi nono nitatoa[emoji41]
siku zote ili umpoteze mbwa ni mpaka uwe na miruzi mingi..kuna uwezekano majibu ni haya ila ukaficha kwa sababu zako, but sio kesi kwani hautaki mambo yako person yawe public..Hapana,
Nimeshajibu kule mwanzo kabisa,
the man is not famous hata..!
😅😅hebu achana na hizo nukta basi rafiki yangu.sema neno lolote nami mtumishi wako nipate kujua😅😅......
Hahahaha Rafiki mie msomaji na mtazamaji[emoji28][emoji28]hebu achana na hizo nukta basi rafiki yangu.sema neno lolote nami mtumishi wako nipate kujua[emoji28][emoji28]
Tatizo waigizaji wako wengi rafiki yangu si utachoka sana..Rafiki mie nasubiri hapa ,nimjue huyu nakuombea upako ktk hili , walau lkn umenipa assignment kujua hii avatar
Cc@Chakorii
Hahahaha, Rafiki banaNilianza kukubeep hapa rafiki yangu kipenzi mtu chake
Hahahaha, nishapigwa chenga ya mwili, acha nikubaliTatizo waigizaji wako wengi rafiki yangu si utachoka sana..
Sitaki uchoke baba sawa ee
Safi kabisa.Hahahaha, Niko kimya
Mangi hana noma ,unamgongea tu ,mzigo unaendelea
Hahahaha, umemsoma eeh , halafu huu Uzi usome vzr kisha fuatilia vzr zaidi, utagundua kitusiku zote ili umpoteze mbwa ni mpaka uwe na miruzi mingi..kuna uwezekano majibu ni haya ila ukaficha kwa sababu zako, but sio kesi kwani hautaki mambo yako person yawe public..
Zipo, hadi double kick, rivela,kitoko, shots za k vantSafi kabisa.
Mangi anabalimi hapo au bingwa!nataka kunena kwa lugha leo