Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Naisubiri hapa hapaAisee ngoja nitaitoa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naisubiri hapa hapaAisee ngoja nitaitoa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tayari, cheki mpya!Hakuna kingine mkuu
Sema unakariri sana aisee 😆😆 sikutegemea
Hapa sasa kidogo afadhaliTayari, cheki mpya!
Sio mimi tu ninaekariri mama wapo wengi humu ndani mfano hakuna.Sema unakariri sana aisee 😆😆 sikutegemea
Duu!!!!Sio mimi tu ninaekariri mama wapo wengi humu ndani mfano hakuna.
Hivi hauwezi kuniazima huyo MJ na mimi nikamtumis halafu nikamrudisha baada ya wiki ijayo[emoji780][emoji41][emoji41][emoji41]
Usichukulie kila kitu siriazi mkuu....Duu!!!!
Mdomo hunena lililopitishwa na moyo!Usichukulie kila kitu siriazi mkuu....
Mkuu wangu ukichukulia kila linaloandikwa humu ndani limepitishwa na moyo.....basi moyo anakazi ya Ziada loh😅😅Mdomo hunena lililopitishwa na moyo!
Sio lazima liwe limepitishwa moja kwa moja, awali moyo husema nataniatuu! Lakini nafasi ikitokea moyo haupati shida kupokeaMkuu wangu ukichukulia kila linaloandikwa humu ndani limepitishwa na moyo.....basi moyo anakazi ya Ziada loh[emoji28][emoji28]
Nakuombea upako ukushukie,Upako ukinishukia anakula mtajo chap kwa haraka [emoji28][emoji28][emoji28]
Rafiki yangu leo ni wikend twende basi tukakisaini kidaftari cha mangi.
Asee hy tarehe muhimu sana kwangu, sijajua nitakua wapiKwema aisee,
Nitakuwa Dodoma November 28 .
Hahahaha, kwani mm Nina avatar ya muigizaji wa kiume wa movies?Rafiki yangu wewe si wa kunisahau namna hii[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]yani nimepoteza wino wangu woteeee kweli baba na hujaona kuwa nimekutaja??
nimeshamjua!!Kuna mmoja siwezi mtaja, kaweka avatar ya ajabu yaani haina mvuto walaqhi, ila vile I am crushing on him huwa najikuta na fall in love na ile avatar yake kila nikiiona..!! [emoji23]
Hahaa,nimeshamjua!!
U.Hahaa,
Nitajie herufi ya kwanza ya jina lake,
Hahahaha
Hapana,
Upako uko njiani rafiki yangu.Nakuombea upako ukushukie,
Rafiki we njoo nipo kwa mangi