Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah Mkuu, Inaonekana unapenda nywele za mdada 😀The Happiness yaani ile avatar uwiiii!!! mwenzenu😁😁😁
Kwanza reply tu imenitibu mafua na kikohozi😊.Hahah Mkuu, Inaonekana unapenda nywele za mdada 😀
Eeeiiiishh🤭....punguza sautiiKwanza reply tu imenitibu mafua na kikohozi😊.
Napenda nywele hasa zile nyingine!!
Akati hata watu hawasikii!?😁Eeeiiiishh🤭....punguza sautii
Here I'm 🙋Kuna vijana wawili nashindwa kuchagua mmoja ila avi zao zinanikosha sana.
Siwezi na sitaweza kuwataja.
Nimimi hapa muvi ekita wa yuesiei...Siwezi mtaja lakini kaweka avatar ya muigizaji wa kiume(mmarekani)movie zake huwa ninazipenda sana.atakaepatia ni nani zawadi nini nitatoa😎
😅😅basi salamu zikufikie ekitaNimimi hapa muvi ekita wa yuesiei...
Wacha weeeh [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Wow thank you,tunakupenda piaa
[emoji120][emoji120][emoji120] [emoji847] [emoji8]