Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Usiniambie alikuwa na lijisambwanda...nyie Haya Hayako fea kabisa..
Ehee ikawaje sasa..
Hahaha mazoea mabaya sanaππlakini unajua kuwa watu huwa tunaanza kuangalia avatar ndipo Id inafuata?yes ni mazoea mabaya ujue ππHahahahahaha sikumbuki vizuri ila kama sikosei alitia ngumu kisha akakubali kuirudisha ila kumbukumbu zangu kama ni nzuri haikukaa sana kisha akaiondoa tena. Hizi avatar zina mambo aisee niliwahi kubadili yangu watu ambao hata sikuwa na mazoea nao wakanifuata pm kutaka niirudishe mpya hawakuipenda πππ nilishangaa sana lakini wahenga walisema wengi WAPE.
Hahaha mazoea mabaya sanaππlakini unajua kuwa watu huwa tunaanza kuangalia avatar ndipo Id inafuata?yes ni mazoea mabaya ujue ππ
Yangu kila nikibadilisha naombwa niirudishe mpka siku watakaponipatia mpya/niweke mbili tatu wachague mbadalaππ
Kwahiyo ulikuwa unakufa na tai shingoni babaππusifanya hivyo siku nyingine.Hii ya kwako ndiyo niipendayo. Huwa unaniudhi sana ππππ ukiweka ya kiume lakini huwa napiga kimya tu lol!!!
Heshima kwakoMi ni ya google helper
Kwahiyo ulikuwa unakufa na tai shingoni babaππusifanya hivyo siku nyingine.
Hata yako huwa naipendaga ujue π
Basi itabidi nilete mbili tatu uchagueπππmaana kuna wakati natamani kuibadilisha
Huo mdomo ni wewe halisi?Hahaha mazoea mabaya sana[emoji16][emoji16]lakini unajua kuwa watu huwa tunaanza kuangalia avatar ndipo Id inafuata?yes ni mazoea mabaya ujue [emoji16][emoji16]
Yangu kila nikibadilisha naombwa niirudishe mpka siku watakaponipatia mpya/niweke mbili tatu wachague mbadala[emoji16][emoji16]
ππkwahiyo unajisifia ulinipa za uso sio!Mara ya kwanza kabisa ulipoiondoa nilikufuata pm nikakupa za uso ππππ kisha nikaondoka zangu lol!!! UKAIRUDISHA. Hivi kwanini unapenda za kiume?
Unaweza uwe wangu au usiwe Chief..kwani hii dunia ni yetu basiπππHuo mdomo ni wewe halisi?
ππkwahiyo unajisifia ulinipa za uso sio!
BAK unaadhabu yako iko jikoni inamalizikia kuiva wallahππ
Kuna wakati napenda kuvuruga watu tu washindwe kunielewaππna mara nyingi naweka ya kiume kama nikiwa buzy kwenye uzi ambao nimetumia maandishi ya kiume
Mimi naulizia kwasasa ni wewe mwenyewe mhusika wa hiyo bidhaa (mdomo) ? (Dunia ni yetu tukiwa hai tunawasiliana)Unaweza uwe wangu au usiwe Chief..kwani hii dunia ni yetu basi[emoji16][emoji16][emoji16]
Umepotea hadi nimekusahau BossHeshima kwako
We endelea kucheka tu nakwambia π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππππππ
Yes ni wanguMimi naulizia kwasasa ni wewe mwenyewe mhusika wa hiyo bidhaa (mdomo) ? (Dunia ni yetu tukiwa hai tunawasiliana)
We endelea kucheka tu nakwambia π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Akuuuu sitii sukari kabisa..nitakutilia pilipili kichaa uwashwe weeeeπππHaya wewe chemsha tu hiyo miti shamba ila usitie sukari nyingi lol!! πππππππ