impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
HongeraYes ni wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HongeraYes ni wangu
Akuuuu sitii sukari kabisa..nitakutilia pilipili kichaa uwashwe weeee😁😁😁
AsanteHongera
Tena hatari yenyewe si ndogo😁😁😂😂😂😂😂😂 una hatari wewe!!!
Hhhh kweli kabisa tunapambana kurudi barabarani baada ya taabu na mateso ya awamu ya tano kupita, walau kidogo naendelea vyema hata ma pressure yamepungua kabisaUmepotea hadi nimekusahau Boss
TuliaaYupi sasa mkuu
🥂Tuliaa
Wewe dada wewe!, Dina, sawa.Yaan zote hizi zinakusisimuaa 🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️ Si unasisimka mno jamani 😂😂😂
baba-chanja kama umemzimikia ile pisi niambie nikupe connection ndio umuone live live😂Lenie
Kaeka pisi flan hv kuntu sana
Nishapatikana....[emoji846]nakutafuta
😂😂😂😂😂Wewe dada wewe!, Dina, sawa.
Ile pisi inakula sana mtima wangu[emoji23][emoji23], fanya kweli anbaba-chanja kama umemzimikia ile pisi niambie nikupe connection ndio umuone live live[emoji23]
Hahaa basi usikonde kijana, nitakufanyia mpango.Ile pisi inakula sana mtima wangu[emoji23][emoji23], fanya kweli an
Kikubwa apatikane tu, dolari tutakopa na mtoto atapewa matunzo.Hahaa basi usikonde kijana, nitakufanyia mpango.
Uandae tu dolari za kutosha kumhudumia. Si unaona mtoto anavyoshine, ana matunzo.
Limepita hilo mkuuKikubwa apatikane tu, dolari tutakopa na mtoto atapewa matunzo.
[emoji109]Limepita hilo mkuu
hapa sasa nimepata furaha🤗Nishapatikana....[emoji846]
naona umekuwa adimuLimepita hilo mkuu