GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kimboka
Kibo? Wamekuja lin?Kibo pub masasi
Kaumba
Wanawake wazuri wanapatikana baa? Au uzuri umetafsiriwaje hapa?
Toroka uje , korogwe kimara
Usiku ninapokaribia Kulala huwa sipendi na nachukia kuulizwa maswali magumu magumu.
Mkuu hii dally kimboko hivi huwa ni kweli??Ila hapa ni kweli Mbu wakikuuma huwezi kuwasikia ila Gono, Kaswende na Gitaa Kali la Dally Kimoko utavisikia vizuri kabisa Mkuu.
Mkuu una uzoefu mkubwa na mzuri sana. Kama unawajua panya wa toroka uje wewe kiboko.Hapa ni kweli Mkuu ila nadhani kama Wamiliki wa hii Baa wakiwa Wabunifu wanaweza wakawatumia wale Panya wanaopatikana sana hapo ambao huingia Mifukoni mwa Wateja na kuondoka na Pesa hasa za Noti kuwa sehemu ya Utalii na wakajipatia Pesa nyingi tu za ziada.
Shikamooni Panya wa Baa ya Toroka Uje.