Taja Baa ambazo zina Totooz za maana kiasi kwamba hata ukiumwa na Mbu husikii maumivu yoyote

Duh! Pole Mzee Baba
 
Eeh njoo ujionee uumbaaji hakika waowaji Hamna bar mzima yaani yeye ndio pambo la bar MD huu nilikuwepo hapo ngoja nimuulize meneja kama hajapita.maaana nae kiwembe
Ipo pande zipi mkuu
 
Saiz hali ni mbaya sema watu wanauona ugonjwa ni wakawaida bora hicho kiboro dinda ukikate tuu
 
Kwa wale wa Muleba (Kagera) Suzana pub (Ila ukiwa mroho dakka 0 tunakuzika).
 
Kuna mahali nilipita panaitwa Mwailubi Carwash & lounge nadhan. Pale mabaamedi wana mashindano ya matako aisee
Mkuu ndo nimekuja kushuhudia nipo hapa, hakika ni balaa hili hawa viumbe sijui jamaa kawatoa sayari gani
 
Mkuu ndo nimekuja kushuhudia nipo hapa, hakika ni balaa hili hawa viumbe sijui jamaa kawatoa sayari gani

Hahahaaaa daaah mpaka umekwenda hapo? piga kitimoto matata hio

mi niko na Friends of City pub tumechinja ng'ombe leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…