Bado uko Masasi au umemaliza shughuli zako umetoka huko? hahahahahhaahKibo pub masasi
Masasi napo?Kibo pub masasi
Hiyo kiboko mkuu))))Plazma nyegezi mwanza
Climber Pub Iko Scotland.
hahaaa......watu kwa machimbo!Kaumba
Tajeni viwanja vya Rock city wakuuuuu
Vimini vitakosaje kwa mfano..au wew ni mzee wa shokeni ( mkuyuni) pale kwa wachafu wachafu..!!?Mkuu Mkuu kwani siku hizi hawavai vimini?
Kuna hiki nyuma ya kanisa katoliki nacho kina misambwanda hatari..!Af pachafu
Ulikua na totoz ya malimbe nin pande hiyo!!!?Plasma Nyegezi kona, Mwanza
iko wapi?Palm view kuna totoz za Kimbulu na Singida
Siku hiz plazma hamna kitu kaka... Pia kuna yule meneja alikua anaweka mwanaume anaweka kalikiti ndo aliharibu kbs... Yan hatak hata binti upige naye stori.Plazma nyegezi mwanza
Iyo ipo Morogpro[emoji23] [emoji23]Kaumba
Mkuu hii thread itanisaidia sana katika shughuli zangu za utalii wa ndani.Rejea tu Kichwa cha habari ( Headline ) hapo juu kisha tiririka na serereka zako tu Mkuu.
Hapo kwenye neno Totooz nimemaanisha Warembo ( Wanawake wazuri wazuri ) tafadhali.
Nawasilisha.