Taja Baa ambazo zina Totooz za maana kiasi kwamba hata ukiumwa na Mbu husikii maumivu yoyote

Duuh hatari sana hii! Mkuu GENTAMYCINE:
 
Wanaume wenye Vimelea vya Ushoga / Umagomeni Mapipa kwa Macheni utawajua tu kwani mara nyingi sana huwa wanashawashwa / wanawiwa kwa mambo yasiyowahusu.
Watu humu ukitoa mada wanawashwa washwa sana...wanakuwa na wivu wa kike kike mkuu, achana nae
 
Watu humu ukitoa mada wanawashwa washwa sana...wanakuwa na wivu wa kike kike mkuu, achana nae

Nimeshampa ' dozi ' yake zamani sana Mkuu na ndiyo maana unaona hajathubutu kurudi tena. Huwa simpendi kumkawiza Mtu wala kumkopesha kumpa ' vipande ' vyake mubashara kabisa.
 
Kwa hiyo mliambukizana na vijana Wa SUA na IDM Mzumbe. Kilikuwa kiota chao
 
Babylon kimbororoni jamaa yangu aliopoa mmoja white kama katoka Indonesia mpaka sasa wana watoto 3 katulia kanisani kila jioni
 
Ukipata muhudumu Wa bar anayejielewa anaweza kuwa mke mzuri/ mwema/ mwadilifu .
1: anaujua ugumu wa maisha ( experience life)
2: Anaijua bajeti
3: Anajua sex( kesha cheza game nyingi ( home and away)
4: Asiwe amezaa.
Ni mtazamo wangu.
 
ukitaka ujue huko bado sana, we tizama bar zinazotajwa nyng zipo ilala na kinondon.
Temeke bado sana viwanja-kumekaa kushoto sana
Lakini hii haiondoi ukweli huku pia kuna baa nzuri na huduma nzuri zinazoweza kupita baadhi ya za huko.ndo mana hata za mikoani zinatajwa
 
Ukipata muhudumu Wa bar anayejielewa anaweza kuwa mke mzuri/ mwema/ mwadilifu .
1: anaujua ugumu wa maisha ( experience life)
2: Anaijua bajeti
3: Anajua sex( kesha cheza game nyingi ( home and away)
4: Asiwe amezaa.
Ni mtazamo wangu.
Wengi wanatamaa.washazoea kuhogwa hamsini hamsini hizi siyo rahisi ku settle
 
Wengi wanatamaa.washazoea kuhogwa hamsini hamsini hizi siyo rahisi ku settle
Muhudumu aongwe fifty bucks.![emoji15] very rare. Labda wale Dada poas wanaozunguka na kuzengea bar hizo. Akipigwa na njemba 4 usiku mmoja atapata hiyo amount.
Lakini maids no.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…