Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Oya. Kali sana yule demu ni konyo. Anaua balaa afu alikua ajui kama yeye alifanyiwa modifications mahabarathe witch part1&2 korean
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya. Kali sana yule demu ni konyo. Anaua balaa afu alikua ajui kama yeye alifanyiwa modifications mahabarathe witch part1&2 korean
Kwanza ndugu, Final Destination sio Horror movie.
Anyways, ni kweli kuna ka-ufanano fulani kwenye stories za horror kiasi kwamba waweza toka kwenye movie moja kwenda nyingine ukaona kinachobadilika ni actions tu ila story ni the same lakini waweza tazama hizi, angalau zina ideas unique.
1. Pet sematary - imekuwa inspired na Novel ya Steph King. Niliipenda idea yake ya eneo la ajabu ambalo hutumika kuzikia wanyama wa ndani (pets) kisha wanyama hao hurudi kuwa hai tena lakini katika namna ya ajabu kabisa. Shida inakuja pale familia moja ilipoamua kumzika mtoto wao mdogo hapo sababu ya kutokuwa tayari kumpoteza, matokeo yake familia nzima ikajikuta ardhini!
2. The Others - achilia mbali wazo lilizoeleka la nyumba fulani kufuatwa na mizimu na roho za ajabu, humu kilichonifurahisha ni muda wote nlokuwa natazama movie kumbe nilikuwa najiongopea, maana niliyekuwa namdhania ndiye akiteseka na mizimu, kumbe yeye ndiye mzimu wenyewe. Na wale waliokuwa wanadhaniwa ni mizimu ndo binadamu walokuwa wanakuja ndani ya nyumba hiyo.
3. The Orphan - familia moja iliyopoteza mtoto wao kichanga tumboni inaamua kum-adopt yatima wamlelee kama mtoto wao, ajabu ni kwamba mtoto huyo si mtoto bali ni mwanamke mwenye miaka 33 ila kutokana na matatizo ya hormones na pia make-ups amefanikiwa kujiweka kama mtoto. Mbali na hapo, anayeshuhudia mambo ya ajabu anayofanya yatima huyo ni mtoto bubu, kuhadithia hawezi akaeleweka.
4. The sixth sense - hapa mwanasaikolojia wa watoto anahangaika kumsaidia mtoto ambaye anajinasibu kuwa na uwezo wa kuona watu waliokufa. Haamini katika haya mambo lakini baadae anaanza kuamini anachosema.mtoto huyo lakini shida inakuja kwamba, mwanasaikolojia huyo naye alikuwa tayari ameshakufa na ndo mana akawa ana uwezo wa kuzungumza na huyo dogo. [emoji23][emoji23] si mchezo humo!
5. Get Out - nilipenda idea yao ya ku-transform mambo ya racism kwenda kwenye horror ambapo familia moja inamtumia binti yao kama chambo cha kuwavuta wanaume weusi nyumbani kwao ili wapate kuwafanyia surgery na kuwawekea ubongo wa wazungu wazee ama walemavu! Yani humo inaitwa kuingia ni BURE ila kutoka na roho yako sasa ndo KISANGA chenyewe!
6. The Visit - hapa watoto walikwenda kutembelea babu na bibi yao kwa mara ya kwanza kabisa ingali mama akiwa vacation. Watoto hawa wanaona vitu vya ajabu ajabu wakiwa huko. Baadae mama anakuja gundua kuna kitu hakipo sawa baada ya kuona picha za watoto wake na bibi na babu hao wanaoishi nao. Hakuwa anawatambua kama wazazi wake. Hakuwa anawajua kabisa! Na kumbe bibi na babu halisi walishakufa. Hao waliopo ni wagonjwa waliotoroka hospitali ya vichaa!
Aisee acha niishie hapa kwa sasa...
Sent using Jamii Forums mobile app GET OUT Kuna nyimbo ya kiswahili inaanza #kimbia# asee iyo muv n nzurii.
We Zai umezidi uoga sasa mrembo,hadi hiyo ya Rambo unaiogopa duh kweli nimeamini nyie wanawake hata mende hamuwezi kumuuaKwakweli zimenishinda kuangali. Nafahamu ni uongo lakini naogopa sana. Hata hii movie ya Rambo: Last Blood ingawa sio horror nimeiangalia kwa shida sana. Kingine, video za kweli za waarabu wanavyokata watu vichwa, kunawatu wanaangalia na wana discuss kabisa, lakini mimi siwezi kuziangalia kabisa.
Hii ya 4 nimeipenda sana kama unazingine ambazo sio horror but zina story kali zilete mkuuNgoja niwape leo kama Movie nne (4) hivi ambazo sio famous sana ila ni kali sana kwa wazee wa Horror:
1. Baghead 2023:
View attachment 2967580
Hii inamuhusu demu mmoja alikua na ugomvi na mshua wake. Kwahiyo wakawa hawaongei kabisa. Baba anaishi nchi nyingine na yeye anaishi kwingine maisha yamempiga. Sasa baba akafariki, akamuachia urithi wa bonge la jumba mjini centre. Akaitwa kusaini urithi. Kumbe kwenye Basement ya iyonyumba ndio kisanga kilichopo. N unatakiwa ulinde iyo nyumba bila kuondoka. Aisee movie ni kali kuanzia dakika ya kwanza hadi mwisho.
2. Case 39 2009:
View attachment 2967589
Kuna sista mmoja anafanya kazi social worker. Sasa akakutana na case flani, wazazi wanamnyanyasa sana mtoto wao wa kike (kama 14 yo hivi). Akaipambania ile case, wazazi wakafungwa jela baada ya kukutwa redhanded wakitaka kumuua mtoto kwa kumuweka kwenye oven yule mtoto. Wazazi wala hawakutaka kukataa iyo case wanasema uyo sio mtoto wao ni shetani. Walivyoenda jela yule dada umbea mwingi akamuadopt yule mtoto. Oyah alichokutana nacho, mbona aliimba nyimbo.
3. Exte (Hair Extention) 2007
Hii chuma ya Kijapan. Kuna mzigo wa nywele za bandia za wanawake wanaotaka kuongeza urefu wa nywele ulifika. Kumbe bwana izo nywele sio za bandia, ila zimetolewa kwenye miili ya wanawake ambao walitekwa, wakafanywa vibaya kisha wakanyolewa ili nyele zikauzwe baada ya kuuliwa na organs zao kuuzwa. umeona sasa. Oya kuna revenge moja amazing sana.
View attachment 2967592
4. I Saw A Devil 2010
View attachment 2967594
Kuna mwamba ni Secret Service (wale wanaowalinda viongozi wa juu kama Marais) wa nchini Korea. Sasa siku moja yupo kazini, akawa anaongea na mke wake chooni kwenye simu. Muda huo huo mke wake gari lake limenasa kwenye snow. Akaja jamaa akajifanya anataka kumsaidia ila mke akasema asante, nishaita towtruck wanakuja kunivuta. Kumbe jamaa ni serial killer. Si akamuattack mke wa Secret Service na kumuua na huku jamaa anasikiakwenye simu. Oya ikumbukwe mke ni mjamzito. Aliafutwa mtu kama panya. Tamu sana ila kama una roho nyepesi usiangalie.
Sawa ngoja nitulieHii ya 4 nimeipenda sana kama unazingine ambazo sio horror but zina story kali zilete mkuu
Huyu hawezi movie aangalie Animation za DreamWorks na Disney.We Zai umezidi uoga sasa mrembo,hadi hiyo ya Rambo unaiogopa duh kweli nimeamini nyie wanawake hata mende hamuwezi kumuua
Za Kituruki izo. AkseeSICCIN
Hii sijui ni horro movie au ni nini lakini inatishaaa mpaka unaweza ukakojoa
Baghead ni ya 2024.Ngoja niwape leo kama Movie nne (4) hivi ambazo sio famous sana ila ni kali sana kwa wazee wa Horror:
1. Baghead 2023:
View attachment 2967580
Hii inamuhusu demu mmoja alikua na ugomvi na mshua wake. Kwahiyo wakawa hawaongei kabisa. Baba anaishi nchi nyingine na yeye anaishi kwingine maisha yamempiga. Sasa baba akafariki, akamuachia urithi wa bonge la jumba mjini centre. Akaitwa kusaini urithi. Kumbe kwenye Basement ya iyonyumba ndio kisanga kilichopo. N unatakiwa ulinde iyo nyumba bila kuondoka. Aisee movie ni kali kuanzia dakika ya kwanza hadi mwisho.
2. Case 39 2009:
View attachment 2967589
Kuna sista mmoja anafanya kazi social worker. Sasa akakutana na case flani, wazazi wanamnyanyasa sana mtoto wao wa kike (kama 14 yo hivi). Akaipambania ile case, wazazi wakafungwa jela baada ya kukutwa redhanded wakitaka kumuua mtoto kwa kumuweka kwenye oven yule mtoto. Wazazi wala hawakutaka kukataa iyo case wanasema uyo sio mtoto wao ni shetani. Walivyoenda jela yule dada umbea mwingi akamuadopt yule mtoto. Oyah alichokutana nacho, mbona aliimba nyimbo.
3. Exte (Hair Extention) 2007
Hii chuma ya Kijapan. Kuna mzigo wa nywele za bandia za wanawake wanaotaka kuongeza urefu wa nywele ulifika. Kumbe bwana izo nywele sio za bandia, ila zimetolewa kwenye miili ya wanawake ambao walitekwa, wakafanywa vibaya kisha wakanyolewa ili nyele zikauzwe baada ya kuuliwa na organs zao kuuzwa. umeona sasa. Oya kuna revenge moja amazing sana.
View attachment 2967592
4. I Saw A Devil 2010
View attachment 2967594
Kuna mwamba ni Secret Service (wale wanaowalinda viongozi wa juu kama Marais) wa nchini Korea. Sasa siku moja yupo kazini, akawa anaongea na mke wake chooni kwenye simu. Muda huo huo mke wake gari lake limenasa kwenye snow. Akaja jamaa akajifanya anataka kumsaidia ila mke akasema asante, nishaita towtruck wanakuja kunivuta. Kumbe jamaa ni serial killer. Si akamuattack mke wa Secret Service na kumuua na huku jamaa anasikiakwenye simu. Oya ikumbukwe mke ni mjamzito. Aliafutwa mtu kama panya. Tamu sana ila kama una roho nyepesi usiangalie.
A nizisakeKwanza ndugu, Final Destination sio Horror movie.
Anyways, ni kweli kuna ka-ufanano fulani kwenye stories za horror kiasi kwamba waweza toka kwenye movie moja kwenda nyingine ukaona kinachobadilika ni actions tu ila story ni the same lakini waweza tazama hizi, angalau zina ideas unique.
1. Pet sematary - imekuwa inspired na Novel ya Steph King. Niliipenda idea yake ya eneo la ajabu ambalo hutumika kuzikia wanyama wa ndani (pets) kisha wanyama hao hurudi kuwa hai tena lakini katika namna ya ajabu kabisa. Shida inakuja pale familia moja ilipoamua kumzika mtoto wao mdogo hapo sababu ya kutokuwa tayari kumpoteza, matokeo yake familia nzima ikajikuta ardhini!
2. The Others - achilia mbali wazo lilizoeleka la nyumba fulani kufuatwa na mizimu na roho za ajabu, humu kilichonifurahisha ni muda wote nlokuwa natazama movie kumbe nilikuwa najiongopea, maana niliyekuwa namdhania ndiye akiteseka na mizimu, kumbe yeye ndiye mzimu wenyewe. Na wale waliokuwa wanadhaniwa ni mizimu ndo binadamu walokuwa wanakuja ndani ya nyumba hiyo.
3. The Orphan - familia moja iliyopoteza mtoto wao kichanga tumboni inaamua kum-adopt yatima wamlelee kama mtoto wao, ajabu ni kwamba mtoto huyo si mtoto bali ni mwanamke mwenye miaka 33 ila kutokana na matatizo ya hormones na pia make-ups amefanikiwa kujiweka kama mtoto. Mbali na hapo, anayeshuhudia mambo ya ajabu anayofanya yatima huyo ni mtoto bubu, kuhadithia hawezi akaeleweka.
4. The sixth sense - hapa mwanasaikolojia wa watoto anahangaika kumsaidia mtoto ambaye anajinasibu kuwa na uwezo wa kuona watu waliokufa. Haamini katika haya mambo lakini baadae anaanza kuamini anachosema.mtoto huyo lakini shida inakuja kwamba, mwanasaikolojia huyo naye alikuwa tayari ameshakufa na ndo mana akawa ana uwezo wa kuzungumza na huyo dogo. [emoji23][emoji23] si mchezo humo!
5. Get Out - nilipenda idea yao ya ku-transform mambo ya racism kwenda kwenye horror ambapo familia moja inamtumia binti yao kama chambo cha kuwavuta wanaume weusi nyumbani kwao ili wapate kuwafanyia surgery na kuwawekea ubongo wa wazungu wazee ama walemavu! Yani humo inaitwa kuingia ni BURE ila kutoka na roho yako sasa ndo KISANGA chenyewe!
6. The Visit - hapa watoto walikwenda kutembelea babu na bibi yao kwa mara ya kwanza kabisa ingali mama akiwa vacation. Watoto hawa wanaona vitu vya ajabu ajabu wakiwa huko. Baadae mama anakuja gundua kuna kitu hakipo sawa baada ya kuona picha za watoto wake na bibi na babu hao wanaoishi nao. Hakuwa anawatambua kama wazazi wake. Hakuwa anawajua kabisa! Na kumbe bibi na babu halisi walishakufa. Hao waliopo ni wagonjwa waliotoroka hospitali ya vichaa!
Aisee acha niishie hapa kwa sasa...
Sent using Jamii Forums mobile app