Taja JF member au members ambao una hamu kabla hujatangulia mbele za haki angalau uwe umewajua

Lizaboni, utaifakwanza, jingalo, Troll JF,........

Napenda niwaone japo kwa sekunde moja tu.
 
wenzio tunakutana nao kila siku ila bar lakini
 
Naona vijana wana shauku kweli kweli ya kuonana na vijana wenzao........Mimi nawatakia kila la kheri kwenye kuonana kwenu......pia kuonana huko kuwe ni kwenye kujenga na mwanzo wa mahusiano mema......pia mjifunze kuwa na vifua....kuyahifadhi mabaya na mazuri ya wenzenu......


Mimi napita zangu tu....ila nikaona sio vyema kupita kimya kimya bila ya kuacha neno.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…