Taja jina la member ambaye tabia yake huipendi

😀😀😀😀 Akili yangu hicho ndio inachoweza tu nivumilie.. hebu jibu post hii kwa freestyle
Hahahahahaha

Nishakuvumilia hunioni nakupa pongezi?, jf kama familia na davinci ndo baba mlezi/

Vichwa panzi midomo wazi nawakabili kwa tenzi, jf miaka miwili na bado sina mpenzi/

Na maliza kwa kusema ishaalah, naomba mungu mwakani nami nile kimasihara/
 

Mkuu

Unatongoza JF?

Unaweza tongoza mkeo au dada yako kabisa!

Dont do that ma nigga!
 

Hahahhaaa
 

Hahahaahaha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkongwe anakutazama tuu

Utaamkia ziwa Jipe
 
Mie najuaga ni robot
 
Yeah, Kiranga nilishawahi kumwambia kuhusu tabia hii. Nadhani amesikia.
 
Unatafuta ukweli wa nini wakati majibu ya ukweli unayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…