Kuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.
Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.
Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.
Hii id chiboko.
Mie najuaga ni robot
Ahahaaaaaaa....! Ukute ni soldier mkuuKuna anaejiita "Genta....." asee huyu nilishampa ahadi
nikimuona mahali tu nikajua ni yeye,Atanipa maelezo yakutosha.
Ni mtu au robot eti?!!Jamaa yeye kimyakimya
[emoji23][emoji23][emoji23] hahahaKuna anaejiita "Genta....." asee huyu nilishampa ahadi
nikimuona mahali tu nikajua ni yeye,Atanipa maelezo yakutosha.
I see huyu njemba mpaka nikamstukia,anataka nini kwangu huyu, mpaka ana-like hata nikiandika pumba. Nikajua ndio hawa wasiojulikana ananivizia. Nikajipanga atakiona cha mtema kuni akijaribu kujipendekezaKuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.
Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.
Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.
Hii id chiboko.
Mimi nilijua ni wasiojulikana ananiviziaNi mtu au robot eti?!!
Huyo mwana hatari. Yaani mara yake ya mwisho kutype ni novemba ila mara ya mwisho kulike ni leo saa sita.I see huyu njemba mpaka nikamstukia,anataka nini kwangu huyu, mpaka ana-like hata nikiandika pumba. Nikajua ndio hawa wasiojulikana ananivizia. Nikajipanga atakiona cha mtema kuni akijaribu kujipendekeza
Hivi jioni anakuja,atakagua zote,anaanza ku-likeHuyo mwana hatari. Yaani mara yake ya mwisho kutype ni novemba ila mara ya mwisho kulike ni leo saa sita.
[emoji23][emoji23][emoji23]mzee wa like uyo namkubali sanaKuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.
Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.
Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.
Hii id chiboko.
Mkuu huyu jamaa nilidhani mwanzoni labda ananifahamu maana nilianza kuogopa kila comment ananipa like. Jana ndo ikabidi nimfatilie nikaona anatoa like kwa kila mtu, nilistasjabu sanaKuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.
Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.
Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.
Hii id chiboko.
Nakubaliana na wewe, hivi huyu mtu mkwepu jr huwa ana comment kweli? Yeye Ni malikes tuuuu. Binafsi nampendaKuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.
Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.
Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.
Hii id chiboko.
Hanaga iyana na mtu anatoa like bila shida yoyote...[emoji4]Mkuu huyu jamaa nilidhani mwanzoni labda ananifahamu maana nilianza kuogopa kila comment ananipa like. Jana ndo ikabidi nimfatilie nikaona anatoa like kwa kila mtu, nilistasjabu sana