Taja jina la member ambaye tabia yake huipendi

Basi mwenzako nikawa najidaiiiii naona jamaa ananimwagia milikes ni na nini atakuwa kazimikia swaga zangu lol kumbe hakuna kitu mkwepu jr njoo ugonge like na hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanzo nilikuwa naogopa?! Kumbe ni tatizo la wanajf wote!!

Sasa dada hukumfuata hata PM jamani!
 
Mwana mzungu hataki tabu nawana anashow love kwakila mtu.
 
Labda ndio anatafuta umaarufu Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kwenyewe kishakupa like....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣
 
Kiranga kapaniki hahahaahaaaaaa
Muhimu ujumbe umefika.

Kwangu mimi
Scars :
Miyeyusho sana huja jamaa.

Nikikumbuka mwengine nakuja kumtaja fasta.
 
Kiduku Lilo

Kwa kweli ni sheeeeeeda.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…