Taja jina la member ambaye tabia yake huipendi

Taja jina la member ambaye tabia yake huipendi

Basi mwenzako nikawa najidaiiiii naona jamaa ananimwagia milikes ni na nini atakuwa kazimikia swaga zangu lol kumbe hakuna kitu mkwepu jr njoo ugonge like na hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanzo nilikuwa naogopa?! Kumbe ni tatizo la wanajf wote!!

Sasa dada hukumfuata hata PM jamani!
 
Kuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.

Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.

Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.

Hii id chiboko.
Mwana mzungu hataki tabu nawana anashow love kwakila mtu.
 
Wewe kutonipenda mimi ni haki yako ya kikatiba.

Wewe kujieleza kwamba hunipendi mimi ni uhuru wako wa kujieleza, haki ya kikatiba.

Natetea haki zako hizi.

Na pia, usiponipenda kwa sababu na mimi natimiza haki zangu za kikatiba za kujieleza, mimi nafurahi sana.

Kwa sababu sijawahi kupungukiwa na wanaonipenda, sitafuti kupendwa kupendwa kunanitafuta mimi.

Natafuta ukweli tu.

Na kama ukweli unakukata maini mpaka useme hunipendi, all the better for me.

Bahafi mbaya au nzuri mimi hata sikukumbuki wewe ni nani hapa JF. Siwezi kusema sikupendi, sikujui, sikukumbuki kabisa.

Jinsi ambavyo uko insignificant kwangu.
Labda ndio anatafuta umaarufu Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.

Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.

Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.

Hii id chiboko.
Hapa kwenyewe kishakupa like....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.

Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.

Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.

Hii id chiboko.
🤣🤣🤣🤣
 
Kuna wadau humu miyeyusho sana.
Taja tabia usizozipenda kutoka kwao hivyo wajirekebishe.

Kwangu hawa nawaona miyeyusho sana

1)Sexyles
Huyu anaboa mara anajifanya wa kike mara wa kiume haijulikani.

2)kiduku lilo
Jamaa ana fake sana maisha.

3)Kiranga
Anasema haaimini uwepo wa Mungu ila mada za Mungu zikianza kujadiliwa huyo anajileta kutafuta kiki.
Kiranga kapaniki hahahaahaaaaaa
Muhimu ujumbe umefika.

Kwangu mimi
Scars :
Miyeyusho sana huja jamaa.

Nikikumbuka mwengine nakuja kumtaja fasta.
 
Kuna wadau humu miyeyusho sana.
Taja tabia usizozipenda kutoka kwao hivyo wajirekebishe.

Kwangu hawa nawaona miyeyusho sana

1)Sexyles
Huyu anaboa mara anajifanya wa kike mara wa kiume haijulikani.

2)kiduku lilo
Jamaa ana fake sana maisha.

3)Kiranga
Anasema haaimini uwepo wa Mungu ila mada za Mungu zikianza kujadiliwa huyo anajileta kutafuta kiki.
Kiduku Lilo

Kwa kweli ni sheeeeeeda.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom