Lizabon na jingalaodj sepetu
LizabonLizabon na jingalao
Kihom hom yuko poa.. Ila jf anaongea pumba ... Kwaiyo una act accordinglyutoto huu raha sana.
utakuta unaemchukia ni babako ila haujui kwa sababu amejifichwa nyuma ya jina bandia.
alafu kwa unafiki unasema hakuna mtu unampenda kama mzee wako
Atakua lemutuz huyuMimi kuna jamaa wa celebrity forum huwa anaubishi wa kijinga, ananiudhi kishenzi
Hongera sana Naona ulifanikiwa kumpoteza kabisa Ben saa8Ben saanane
Huyu ingekuwa amri yangu nngempoteza kabisa jf
Naona ulifanikiwaBen saanane
Huyu ingekuwa amri yangu nngempoteza kabisa jf
Yule aliyeweka picha ya prof muhongo, nikiona amecomment huwa napita hata sitaki kujua amendika nn.. Naona kama ni mtu anayeongoza kunikera.. Napendekeza jamii forum waweze kuweka block. Kama mitandao mingine ili nisiweze hata kumuona kabisa
Lizabon
Mudawote
[HASHTAG]#hash[/HASHTAG] tag [HASHTAG]#Lizbon[/HASHTAG] tuachie jamii Forum yetu...
moto wa maji
SIMON MATO
Yehodaya
Rutashobolo
Mwasita Moja, Rutashobya, Lizabon Lupyee
Lizabon
Na Rutashobolo
Ingekuwa kwenye mamlaka yangu ningewafuta kabisa humu.[emoji35] [emoji35] na hata wangebadili ID ningewasaka nakuwadelete kabisa.
Lizbon
Ben saanane
Huyu ingekuwa amri yangu nngempoteza kabisa jf
KILLAZER NAMBA MOJA SIJUI WA WAPI YULE JAMAA
PAUL MAKONDA
Lizaboni
Wakudadavua
Janja One
Tandale One
Lizabon
Popoma mkuu
Lizaboni ni tatizo Mkuu.
liza mfupa a.k.a lizaboni ni tatizo
Dada Lazabon
Elizaboni
Mudawote huyu kama si kaha.ba basi changu
Mbona hamtoi na sababu?FaizaFoxy
JF-Expert Member
FaizaFoxy was last seen:
Sunday at 11:22 AM
Huyu anaishi kama shetwani sasa, si kawaida yake wiki nzima asitie maguu humu, wakati alikua hata mume hampatii haki yake ya ndoa, 24hrs JF. Bado wewe
Umepiga faru john nini? Soma heading halafu tuambie kama kuna mahali kasema toa na sababuMbona hamtoi na sababu?
Naona mi bwabwajo tu [emoji22]
Taja na sababu wewe, mbona model wenu katoa na sababu....Umepiga fari john nini? Soma heading halafu tuambie kama kuna mahali kasema toa na sababu
Walimu wana kazi sana mashuleni
Soma heading sio unaongeza na ya kwako madhara ya kuvuta bangi mbichi hayoTaja na sababu wewe, mbona model wenu katoa na sababu....
Wivu ni kidonda shauri yako
Unaweza kukuta wewe unaechukia mtu bila sababu Pengine hata humfaham ndie mwenye hayo matatizo... Sasa Wewe embu tuambie huyo bwana kakufanyaje hadi umchukie?Soma heading sio unaongeza na ya kwako madhara ya kuvuta bangi mbichi hayo
Anzisha thread yako sasa hilo humo halimo hapo ni orodha tu.Unaweza kukuta wewe unaechukia mtu bila sababu ndie mwenye hayo matatizo... Sasa Wewe embu tuambie huyo bwana kakufanyaje hadi umchukie?
Huna sababu...!Anzisha thread yako sasa hilo humo halimo hapo ni orodha tu.
Unajua maana ya kutaja jina la mtu unaemchukia?Huna sababu...!
Maana yake kuna sababu ya wewe kuchukizwa nae.Unajua maana ya kutaja jina la mtu unaemchukia?