haa ha we jamaa upoMsichafue hali ya hewa hance mtanashati anapita. [emoji124][emoji124][emoji124]
Lizabon
Na Rutashobolo
Ingekuwa kwenye mamlaka yangu ningewafuta kabisa humu.[emoji35] [emoji35] na hata wangebadili ID ningewasaka nakuwadelete kabisa.
Popoma mkuu
Dah! kiukweli kukataliwa na Jamii kwa Ujumla yakupasa ukae chini ujiuize mara kumi kumi huyu LIZBON ajifunze aisee
Yawezekana sometimes mambo yake hayaendi poa coz hua anawakwaza watu so ajichek.πππππ
Mkuu swala la Upendo na Wanywa Viroba linahusianaje???? au unamaanisha nn hapoNibora upendwe na wanao jitambua 10
Kuliko kupendwa na Wanywa Viroba 10000
Angalia Kauli zako Bob! wanywa Viroba?????πππWengi humu ni Wanywa Viroba wa cdm
Hivyo hawawezi kumpenda Lizaboni
Naona kumchukia kwao ndio kumuongezea nguvu zaidi
Awape zauso kwelikweli
Hii ndio kitu ilikupa nguvu ya kuzunguka Tanzania nzima ? Ila tupo tofauti nisipokuwa na hiyo kitu ndio naborekaMimi huwa najiboa mwenyewe hasa nikisha kula
kama saa hizi ushalipuka bisha...........!!!!Mimi huwa najiboa mwenyewe hasa nikisha kula
Kauli zipi !!?Angalia Kauli zako Bob! wanywa Viroba?????πππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,kwa nini mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , umekosea bhana labda ulimaanisha mwenye ID ya kijana mtanashati ukaichanganya na yanguhaa ha we jamaa upo
Hakika nipo Ganjakama saa hizi ushalipuka bisha...........!!!!
NI kweli mkuu,Hii ndio kitu ilikupa nguvu ya kuzunguka Tanzania nzima ? Ila tupo tofauti nisipokuwa na hiyo kitu ndio naboreka
umemaliza blog??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,kwa nini mkuu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , umekosea bhana labda ulimaanisha mwenye ID ya kijana mtanashati ukaichanganya na yangu
Nimekwama kwenye ku add adsense account,u
umemaliza blog??
tafuta mtaaramuNimekwama kwenye ku add adsense account,
Poa poa ntafanya hvyotafuta mtaaramu