Taja jina la mtu ambaye michango yake humu huwa inakuboa

Taja jina la mtu ambaye michango yake humu huwa inakuboa

Yule aliyeweka picha ya prof muhongo, nikiona amecomment huwa napita hata sitaki kujua amendika nn.. Naona kama ni mtu anayeongoza kunikera.. Napendekeza jamii forum waweze kuweka block. Kama mitandao mingine ili nisiweze hata kumuona kabisa
 
[HASHTAG]#hash[/HASHTAG] tag [HASHTAG]#Lizbon[/HASHTAG] tuachie jamii Forum yetu...
 
Back
Top Bottom