Nimemaliza St. Mary Primary School, Advance nikaenda kusoma UDSM university, sasa hivi nipo the best University in the World Massachusetts Institute of Technology (MIT)
Yaah! Huku nawaburuza sana wajinga wa huku...
Temps unaijua ?Nyamisangura praimari
Kwamsembea primary school 1985 then Lomwe secondary school 1986 -1989 kwasasa naishi Arusha
Itaje shule ya msingi ambayo wewe umesoma na mkoa iliopo unaweza kumpata rafiki yako humu mlie somanae
Maana ni watu wasiojulikana, kwa sababu hawatumii majina yao halisi.huku ni JF sio facebook.......... halafu watu mnaowatafuta hamtawapata
Hujaitendea haki Jamii Forums. Hiki ni Chuo kikuu sio shule ya msingi.Jamii forum secondary school
Bila shaka utakuwa Ngoswe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngengemkeni mitimingi english medium.
Unajifunzia uhuni temeke we, utaachwa umechafuliwaAcha shobo mkuu otherwise itakutokea makalioni
Aha nishazoea porojo zako weHapa gusa unase ni chuma cha pua utaumia mkuu