Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

BIIJA primary school Mkoa kagera wilaya muleba kata rushwa na kijiji hicho hicho BIIJA
 
Nimesoma Kolomije Primary,nikaenda Seco Misungwi nikapiga zero. Nikaenda Mwanza kurudia wapiii,nikanunua jina la Paul kujiunga na Chuo,kisha huyoooo MuccoBs Moshi na ma-disco na masap ya kufikia tu

Nikazama kwenye chama kujipenyeza penyeza mara RC. Mimi ni nani?
Mm ni biko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Itafute magoweko p/s katk raman ya TABORA m/spaa, itafute tena kanyenye s/s.

Baada ya hapo njoo MOROGORO m/spaa ukinikosa njoo wilaya ya mvomero kijiji cha mkindo nipo na mwaga mpunga.

KUMBUKA HUWEZ KUNIPATA KWA KU2100 JINA LA ID.
 
Back
Top Bottom