Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Aisee... Kumbe mijitu ya hapa JF ni mioga kiasi hiki?

Kwani hiyo selikali unafikiri ikitaka kukunasa itashindwa kisa ki fake id chako?
 
Saiv pamependeza kiasi flani, barabara za mitaa kuna lami
 
Wilolesi Iringa
Sisimba Mbeya
Kiloleli Primary School Massanza Kona Magu Mwanza
Muhimbili primary school


hahaha product ya wilolesi kmbeee ! then sisimba!!!!!!!!1heheheheh !team nyanda za juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…