Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Mwaka gani mkuu,au ni wa kina mwl kinyaaaKindi kati primary school
Jirani yako kindi juu hapa,Kindi kati primary school
KHE!!Muungano primary school iliyopo wilayan Temeke
Wewe ni championNimesoma Kolomije Primary,nikaenda Seco Misungwi nikapiga zero. Nikaenda Mwanza kurudia wapiii,nikanunua jina la Paul kujiunga na Chuo,kisha huyoooo MuccoBs Moshi na ma-disco na masap ya kufikia tu
Nikazama kwenye chama kujipenyeza penyeza mara RC. Mimi ni nani?
Mie Kebanchabancha Shule ya Msingi baadae nikahamia NyamokoNimesoma matare shule ya msingi, baadae ikawa kyambai shule ya msingi, wilaya ya Serengeti. Karibu.
hahahaa uswahili si angesoma jamhuriWewe utakuwa ulikuwa unkaa mitaa ya Uswahilini bila shaka.