Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Haya
Idetero primary school ! nimewah kuwa no 11 darasa la 3 niliugua sana pumu kwa miez 5 nyumbani! lakini miaka yoote nilikua namba 1/2! standard seven tulifaulu mimi na kaka mmoja anaitwa Fred! nilikua naongoza kiwilaya ! asante Mwalimu NDELWA!
Haya maelezo yanatosha kabisa kukamatwa na watu wa usalama wa taifa kwa mfumo wa Nchi Hii kwasasa inavyoendeshwa
 
Mawenzi primary school finalist 1995 tulikuwa na kina mapambano, Frank mpiji, Frank Emmanuel(kichaa), James Frank, Alexander mathias, Joseph Damian, Lucy Alex, delphina mathias, Ibrahim kiandika, Ally mwarabu, mwalimu mkuu maembe, mwl. Nkya,kiwelu, mama Sara mpishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…