hahah na siku hizi unajiita NAKWEDENdio, siku hizi najiita NAHUJA, nimebatizwa kwenye ubatizo wa maji moto hahahahahahhahahah
Hahahaa hiyo tulikuwa tunaiita shule ya mataahira! Au ulikuja kupona mkuu?(cunning)Uhuru pr school ...Arsha.
Shaurimoyo na kiswandui primary schoolsHebu tuzikumbuke Shule zetu za msingi tulizosoma miaka hiyo na Jambo gani ambalo hutalisahau?
Aidha si vibaya ukasema ulikuwa unashika Nafasi ya ngapi.
Karibuni!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mazoezi Primary School Korogwe Tanga.
Primary nilikua akili sio mingi nilikua namba yangu ni 2 au 3. Darasa la sita niliongoza shule mtihani wa Mock (shule iliongoza kiwilaya) na darasa la saba nikawa msichana aliepata marks nyingi mtihani wa taifa kutoka shuleni kwetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee.. Nilimaliza st john bosco academy primary nilikuwa kilaza hatari namba zangu ni 20-22 kati ya wanafunzi 25 ila mwishoni namaanisha darasa la 7 nilikuwa mtu wa tisa sikuamini kuanzia hapo nikapata confidence O level hadi advance nilikimbiza sana aisee sema necta nikawa naambulia division two.
Chuo ndio nikaja relax zaidi mood ya kusoma sijui iliishia wapi kwa kweli nikatoka na pass za wastani nashukuru Mungu degree niliyosoma ilikuwa ni unclassified hivi sasa nafikiria kuanza kusoma masters mwakani nje kabisa nilichosomea bachelor
Hahahahaha AKA bado ipo though sisi ndio watoto Wa mjini wajanja Wa kila kitu compare na mashule mengine.Hahahaa hiyo tulikuwa tunaiita shule ya mataahira! Au ulikuja kupona mkuu?(cunning)
Kama Elimu ni mwanga mbona kuna NTU kasoma hapa kolomije na bado no Mjinga ,hyo school moto vip
R.I.P Mama kachale na Mwalim Bibi na Mwalim kasikana wamenifundisha la kwanza hao...
umenikumbusha mbali sanaR.I.P Mama kachale na Mwalim Bibi na Mwalim kasikana wamenifundisha la kwanza hao...
Sent using Jamii Forums mobile app