Huendi Mbinguni!namkumbuka sana babu yangu anaitwa Mwakastars Mwamfungwe
ya kuongea shit mkuuGani mkuu?
CC Zero IQ
Haha ...no wonder akili zako ni kama ulabu tuBaba yangu alikuwa mnywa gongo mashuhuri so wakamtungia jina kumwita kachaso..kachaso maanake Ni jina la Aina fulani ya gongo Kali Sana.
nick names za wazazi ili ugundue nini mambo ya hovyo kabisa haya zero ooKama mnavyojua kuna baadhi ya wazee wetu (baba) walikuwa na majina ya utani kutokana tu na kile walichokuwa wanapendelea kukifanya kitaani,
Je wewe mzee wako alikuwa na jina gani la utani?
Mi mdingi wangu alikuwa anaitwa uncle J ilikuwa inasomeka kwa kiswahilii "Unkle J" wakiwa na maana mtu wa watu sana yaani yuko peace hiyo J ni herufi ya jina lake la kwanza
CC Zero IQ