NaogopaWhy mkuu
CC Zero IQ
Nife🙆Njoo Pm nikukumbatie
CC Zero IQ
Kama mnavyojua kuna baadhi ya wazee wetu (baba) walikuwa na majina ya utani kutokana tu na kile walichokuwa wanapendelea kukifanya kitaani,
Je wewe mzee wako alikuwa na jina gani la utani?
Mi mdingi wangu alikuwa anaitwa uncle J ilikuwa inasomeka kwa kiswahilii "Unkle J" wakiwa na maana mtu wa watu sana yaani yuko peace hiyo J ni herufi ya jina lake la kwanza
CC Zero IQ
Hahaaaahaaa!!namkumbuka sana babu yangu anaitwa Mwakastars Mwamfungwe