Onyo Muhimu mdau.He he heee! hivi bado kuna watu wanaowapiga wapenzi wao? Hakuna kosa lililohalalishwa kupigwa! usirudie kumpiga mpenzi/mke wako.
Mahusiano hupitia katika vitimbwi,furaha,huzuni na wakati mwingine hadi mauaji.
Yamkini ni nadra sana kukuta mahusiano yaliyoweza kudumu kwa muda mrefu mathalani muongo mmoja bila ya wanamahusiano kupeana kichapo au mmoja wapo kuadhibiwa mara kwa mara.
Je ni tukio gani lilipelekea kumwadhibu mpenzi wako?binafsi niliwahi kumpa kichapo kutokana na tendo la kukiuka makubaliano,ambapo alienda kwenye harusi ya rafiki yake na kulala huko kwa siku tatu licha ya makubaliano ni yetu ilikuwa ni kulala siku moja tu
Hahahahah kwahio jamaa kafanya lililo la msingi kumzibua mkewe.Safi Mkuu hapo kwenye Rangi Nyekundu nimepakubali..SAFI SANA MDAU.
Mahusiano hupitia katika vitimbwi,furaha,huzuni na wakati mwingine hadi mauaji.
Yamkini ni nadra sana kukuta mahusiano yaliyoweza kudumu kwa muda mrefu mathalani muongo mmoja bila ya wanamahusiano kupeana kichapo au mmoja wapo kuadhibiwa mara kwa mara.
Je ni tukio gani lilipelekea kumwadhibu mpenzi wako?binafsi niliwahi kumpa kichapo kutokana na tendo la kukiuka makubaliano,ambapo alienda kwenye harusi ya rafiki yake na kulala huko kwa siku tatu licha ya makubaliano ni yetu ilikuwa ni kulala siku moja tu
Unashangaa nini sasa? Tulia umri ufike uweke mtu ndani ndio utajua watu wanazungumza nini, niliwahi kujiapiza sitompiga wife lakini ilishindikana aieeHe he heee! hivi bado kuna watu wanaowapiga wapenzi wao? Hakuna kosa lililohalalishwa kupigwa! usirudie kumpiga mpenzi/mke wako.
Hata mimi niliwahi kujiapiza hicho kitu,but i didi it once na sijawahi kupiga tena,ila kiukweli midomo ya wanawake inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana,cha muhimu ni kumuomba Mungu akupe hekima ili uweze kuishi nao salama otherwise mtakuwa na magomvi yasiyoisha..Well to be honest mimi ni mpole/mtaratibu sana ila nna hasira sana so sipendagi uchokozi, usumbufu na kuharibiana siku kwa ligi ama ugomvi usio na lazima.
There was a time nilivumilia zile kelele za kike toka kwa shemej/wifi yenu ikafikia point ikawa too much nawaza hata narudije nyumbani. Ukifika tu mziki umeanza yani unalazimishwa kubishana over trivial things then unanyamazishwa kwa kauli moja inayokera balaa. Kuna siku nikaona sio kweli sasa nikaamua kusimama nikatoa kichapo heavy sana sikuwahi kupiga KE before, nilimvunja jino la mwisho.
Kesho yake sikwenda mihangaikoni nikawa ninamuuguza maana nilimchapa haswa. Naweza sema kipigo kilisaidia kwa kiwango flani maana dharau iliisha na ile kero ya gubu ikawa imeisha hivyo. Ila tangu na hapo nilijiapiza sitopiga tena maana naweza ua mtoto wa mtu aisee till date sipigi mwanamke i felt so guilty. Nilichojifunza baadhi ya wanawake wa kiafrika wanapendaga kudundwa someties ili akili ziwakae sawa ingawa sio kitu kizuri.
Ndio Mkuu some time wanapoelezwa kwa maneno inakuwa shida kama hali ikiendelea inabidi Mkuu..Hahahahah kwahio jamaa kafanya lililo la msingi kumzibua mkewe.
He he heee! hivi bado kuna watu wanaowapiga wapenzi wao? Hakuna kosa lililohalalishwa kupigwa! usirudie kumpiga mpenzi/mke wako.
Sure Mkuu..inabidi kuwakumbusha kidogo kwa ONYO la namna hiyo.Well to be honest mimi ni mpole/mtaratibu sana ila nna hasira sana so sipendagi uchokozi, usumbufu na kuharibiana siku kwa ligi ama ugomvi usio na lazima.
There was a time nilivumilia zile kelele za kike toka kwa shemej/wifi yenu ikafikia point ikawa too much nawaza hata narudije nyumbani. Ukifika tu mziki umeanza yani unalazimishwa kubishana over trivial things then unanyamazishwa kwa kauli moja inayokera balaa. Kuna siku nikaona sio kweli sasa nikaamua kusimama nikatoa kichapo heavy sana sikuwahi kupiga KE before, nilimvunja jino la mwisho.
Kesho yake sikwenda mihangaikoni nikawa ninamuuguza maana nilimchapa haswa. Naweza sema kipigo kilisaidia kwa kiwango flani maana dharau iliisha na ile kero ya gubu ikawa imeisha hivyo. Ila tangu na hapo nilijiapiza sitopiga tena maana naweza ua mtoto wa mtu aisee till date sipigi mwanamke i felt so guilty. Nilichojifunza baadhi ya wanawake wa kiafrika wanapendaga kudundwa someties ili akili ziwakae sawa ingawa sio kitu kizuri.
Ulimpiga mchumba au mke?
Sijawahi pigwa kwenye uchumba wala ndoa,,,kwanza kwann anipige,kwa kosa gani