dadaake
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,125
- 1,108
Ninavyoogapa kipigo na kuupenda mwili wangu huwa najikuta ni mtu niliyenyooka na ndio maana kwenye mahusiano sijawahi kumbana na hiyo dhahama.
Sio siri huwa nashangaa sana mwanaume anayempiga mwenza wake iwe kwa kosa lolote lile kwa sababu siku zote sijawahi ona suluhu ikipatikana kwa kipigo. Ila wanaume mnaopiga wenza wenu Mungu anawaona aisee. Japokuwa wengi wenu mtajifanya hampigi mwanamke ila kiuhalisia ni wanaume wengi sana wasiojua kutatua tatizo pasi kutoa kipigo.
Mm licha ya kuogopa kipigo ugomvi,maneno maneno sipendi kabisaaa,nipe ratiba zako mapema basii najiongeza
Sio unarudi usiku umelewa unafika getini mahoni km tuko stend unaingia ndani kelele mara maswali nachukia na sikujibu naweza kukununia mpk