Taja kitu kilichopanda bei mtaani kwenu, Mimi nitaanza...

Taja kitu kilichopanda bei mtaani kwenu, Mimi nitaanza...

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!
Huku mtaani kwetu Chanika unga wa sembe unapanda bei kwa kasi.

Kila nikienda mashine kununua unga siku hizi nakutana na bei mpya.

Vitu vingi vilivyouzwa jero sasa ni mia 6 na vile vya buku sasa buku na mia 2.

Leo nikiwa kazini mjini nikapitia cafe ya karibu nakuta vitafunwa vimepanda bei.

Huu mfumuko wa bei utawaumiza sana watumishi wa sekta binafsi na wananchi wengine.
 
Habari!
Huku mtaani kwetu Chanika unga wa sembe unapanda bei kwa kasi. Kila nikienda mashine kununua unga siku hizi nakutana na bei mpya.
Vitu vingi vilivyouzwa jero sasa ni mia 6 na vile vya buku sasa buku na mia 2.
Leo nikiwa kazini mjini nikapitia cafe ya karibu nakuta vitafunwa vimepanda bei.
Huu mfumuko wa bei utawaumiza sana watumishi wa sekta binafsi na wananchi wengine.
Dogo unapenda sana kulakula
 
Habari!
Huku mtaani kwetu Chanika unga wa sembe unapanda bei kwa kasi. Kila nikienda mashine kununua unga siku hizi nakutana na bei mpya.
Vitu vingi vilivyouzwa jero sasa ni mia 6 na vile vya buku sasa buku na mia 2.
Leo nikiwa kazini mjini nikapitia cafe ya karibu nakuta vitafunwa vimepanda bei.
Huu mfumuko wa bei utawaumiza sana watumishi wa sekta binafsi na wananchi wengine.
Wakulaumiwa ni Magufuli na Putin
 
Vitu vimepanda bei kwa 20% vingine mpaka 30%.
Nasubiria mwezi wa 7 wapandishe safari kubwa pengine nitapata sababu ya kuiacha.
Kila mwaka unapoanza kipaumbele changu huwa ni kuiacha lakini baada ya mwezi huwa naimiss na kuirudia kwa upendo mkubwa sana.
 
Hapo kwenye unga mbona bado,,huku mashambani watu washavuna wanaanikia wanauza mahindi,

Mwaka huu mbolea ilikuwa bei juu sana hivyo imepelekea wakulima wengi kushindwa kulima,

Wamelima matajiri,sasa tujiandae kisaikolojia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom