Darius Tanz
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 461
- 137
Ukute hao wahindi walikuwa wanamshangaa!sijajua kama una kisa nae au vipi, au labda siku hizi uwezo umepungua (unajua tena maskini akipata)
ila kwa jinsi navyomjua huyu jamaa ni balaa, kuna kipindi tuliwahi kuwa na sherehe ya harusi na alikua MC na tulifanyia kwenye hotel moja hv inamilikiwa na wahindi, yaani mpaka wahindi wakawa wasimama madirishani kuangalia maana ilikua ni balaa.. ukumbi wote ulikua ni kelele mpaka maharusi kwa kucheka.
labda siku hizi hana upako au sijui kama bado ameokoka maana by then alikua mlokole mzuri tu
MC nani huyo? Usikute unamzungumzia MC wetu toka domHuyo pilipili ndio MC uchwara namba moja.Kuna siku alikuwa anadai huwezi kupata mchumba veta, akasema wachumba wanapatikana vyuo kama IFM.
Nilimshusha vyeo kabisa, sijasoma Veta ila sikufurahia kudhihaki vyuo vya watu.
1. MC PILIPILI a.k.a ZAKAYO - hiki kijamaa kinalazimisha u-MC lakini hawezi huyu labda aende kwenye kupiga ngoma za kienyeji huko kwao DODOMA.
Mc Pepper pepper huyu jamaa sijui hata fani gani anaiweza maana comedy ndio kabisa pumba tupu
Sent using Jamii Forums mobile app