Taja ma-MC uchwara Dar es salaam

Taja ma-MC uchwara Dar es salaam

sijajua kama una kisa nae au vipi, au labda siku hizi uwezo umepungua (unajua tena maskini akipata)

ila kwa jinsi navyomjua huyu jamaa ni balaa, kuna kipindi tuliwahi kuwa na sherehe ya harusi na alikua MC na tulifanyia kwenye hotel moja hv inamilikiwa na wahindi, yaani mpaka wahindi wakawa wasimama madirishani kuangalia maana ilikua ni balaa.. ukumbi wote ulikua ni kelele mpaka maharusi kwa kucheka.

labda siku hizi hana upako au sijui kama bado ameokoka maana by then alikua mlokole mzuri tu
Ukute hao wahindi walikuwa wanamshangaa!
 
Huyo pilipili ndio MC uchwara namba moja.Kuna siku alikuwa anadai huwezi kupata mchumba veta, akasema wachumba wanapatikana vyuo kama IFM.

Nilimshusha vyeo kabisa, sijasoma Veta ila sikufurahia kudhihaki vyuo vya watu.
 
Huyo pilipili ndio MC uchwara namba moja.Kuna siku alikuwa anadai huwezi kupata mchumba veta, akasema wachumba wanapatikana vyuo kama IFM.

Nilimshusha vyeo kabisa, sijasoma Veta ila sikufurahia kudhihaki vyuo vya watu.
MC nani huyo? Usikute unamzungumzia MC wetu toka dom
 
1. MC PILIPILI a.k.a ZAKAYO - hiki kijamaa kinalazimisha u-MC lakini hawezi huyu labda aende kwenye kupiga ngoma za kienyeji huko kwao DODOMA.


Kupiga ngoma ni kipaji mkuu. Tena ondoa hii dhana kupiga ngoma ni fani ya watu walioshindwa. That's wrong.
 
Mc Zippo Mama la Mama yupo vizuri sana
 
Back
Top Bottom