Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Habarini Wadau,
Ninaomba kwa wale watazamaji na wafuatiliaji wa Mpira wa miguu mnitajie mabeki bora ambao wamewahi kuzitendea haki nchi pamoja na klabu zao kwa kuwapa tabu sana Washambuliaji.
Binafsi nitawataja watatu ambao ninakiri kuwa walikuwa mabeki Wazuri sana katika timu za taifa na klabu zao.
1. Marseille Desaily (France)
2. Cafu (Brasil)
3. Fabio Canavaro (Italy)
Ninaomba kwa wale watazamaji na wafuatiliaji wa Mpira wa miguu mnitajie mabeki bora ambao wamewahi kuzitendea haki nchi pamoja na klabu zao kwa kuwapa tabu sana Washambuliaji.
Binafsi nitawataja watatu ambao ninakiri kuwa walikuwa mabeki Wazuri sana katika timu za taifa na klabu zao.
1. Marseille Desaily (France)
2. Cafu (Brasil)
3. Fabio Canavaro (Italy)