Taja mabeki watatu bora wa wakati wote Duniani

Azarel

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
28,916
Reaction score
40,479
Habarini Wadau,

Ninaomba kwa wale watazamaji na wafuatiliaji wa Mpira wa miguu mnitajie mabeki bora ambao wamewahi kuzitendea haki nchi pamoja na klabu zao kwa kuwapa tabu sana Washambuliaji.

Binafsi nitawataja watatu ambao ninakiri kuwa walikuwa mabeki Wazuri sana katika timu za taifa na klabu zao.


1. Marseille Desaily (France)

2. Cafu (Brasil)

3. Fabio Canavaro (Italy)
 
According to kizazi cha miaka ya 90 kurudi nyuma ni hawa hapa;
Franz Backenbeuer "The Kaiser"
Franco Baresi
Bobby Moore

Kwa niliowaona mimi wakicheza;
Paolo Maldini
Sergio Ramos
Nemanja Vidic

Kwa Afrika;
Wael Gomaa
Said Mwamba Nassoro
Lucas Radebe

Mkuu uliwahi waona Fabio Cannavaro na Allesandro Nesta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…