Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Wanasema kwamba hata uwe tajiri vipi huwezi kukosa deni. Lazima kutakuwa na mtu, kampuni/ benki inayokudai.
Wengine wanafika mbali zaidi na kusema kama mtu unaogopa kukopa na kudaiwa, basi huwezi kuwa na mafanikio.
Je, wewe hapo kwa sasa unadaiwa nini? Kama ni pesa, ni kiasi gani?
Binafsi hapa nilipo nipo na madeni haya:
-Tala=45,000
-Tigo =36,000
-Airtel =37,000
-Branch=6,000
-Nadaiwa bili ya maji 9,200, hii leo nitailipa.
-Nadaiwa na jamaa 35,000.
-Nadaiwa hela ya posa milioni 1 na laki 3, kati ya milioni 1 na laki 5, nilitoa laki 2 tu.
Hayo ndiyo madeni yangu hayo ya juu ukitoa matatu ya mwisho, yameshakuwa sugu sasa.
Cc Zero iq
Wengine wanafika mbali zaidi na kusema kama mtu unaogopa kukopa na kudaiwa, basi huwezi kuwa na mafanikio.
Je, wewe hapo kwa sasa unadaiwa nini? Kama ni pesa, ni kiasi gani?
Binafsi hapa nilipo nipo na madeni haya:
-Tala=45,000
-Tigo =36,000
-Airtel =37,000
-Branch=6,000
-Nadaiwa bili ya maji 9,200, hii leo nitailipa.
-Nadaiwa na jamaa 35,000.
-Nadaiwa hela ya posa milioni 1 na laki 3, kati ya milioni 1 na laki 5, nilitoa laki 2 tu.
Hayo ndiyo madeni yangu hayo ya juu ukitoa matatu ya mwisho, yameshakuwa sugu sasa.
Cc Zero iq