Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Nilifikiri umeshaoa.Nimesahau kuziweka hapo mkuu posa nadaiwa milioni 1 na laki 3
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sidaiwi Bali nadai mil 35 ya fidia kwa mambo niliyofanyiwa japo utaratibu wa malipo umefika hatua ya mwisho ni Mimi kwenda kusaini kuchukua
Ila
Ila nimeghairi
Nyoo
Okei yu have no aidia bikozi yu donti know me in fact no badi no me