Taja maeneo ya hovyo Dar ambayo huwezi kukaa

Taja maeneo ya hovyo Dar ambayo huwezi kukaa

Ni kweli mkuu huu uzi ni wa kipumbavu na wa kitoto sana, watu wanaishi maeneo hayo siyo kwa kupenda bali hawana jinsi na uwezo wa kuishi wapapendapo

Asichokijui huyu kitoto ni definition ya maisha. Katoka porini huko kaja ishi kwa shemeji yake magorofani basi anajiona kafikaaa na maisha kayapatia. Hajui hata huko anakoona uswazi kuna watu wanamaisha mazuri na furaha tu zaidi yake!
 
Mimi haya kwangu ni maeneo ya hovyo ambayo siwezi kukaa

Mbagala
Kiwalani
Buza
Temeke
Vikindu
Vingunguti
M.nyamala
Tandale
Magomeni
Manzese
Tabata ToT
Chang'ombe
Buguruni

Haya maeneo kwangu ndo maeneo ya hovyo kabisa nakerwa na tabia za wenyeji na pia nakerwa na ujenzi mbovu wa wenyewe pia nakerwa na narudia ni tabia za wenyeji za maeneo haya wana tabia ambazo zina kila dalili za umasikini umasikini tu tabia ya kuridhika na mambo ya hovyo hovyo tu.

Kwa upande wako unadhani ni maeneo gani ya hovyo huwezi kukaa?
Utoto unakusumbua!
 
Dar es Salaam yote, kama si mzaliwa wa huko si sehemu ya kuishi. Dar is a business City. Kama nio mfanyakazi kaa Dar with a plan in mind kwamba nikijaaliwa kustaafu salama, makazi yangu ya kupumzika ni either Morogoro vijiini, Ifakara, Tukuyu, maeneo ya Uyoleuyole, Marangu, Kilema, Manyovu, Uvinza, nk. Dar ni sehemu ya kutafuta, 25-60 years. Short of that you're doomed!!
 
Kwa mtu anayeelewa maisha ni kupanda kushuka hawezi kusema eti kuna maeneo hawezi kukaa.

Nakumbuka nilipokuwa primary mama yangu aliwahi kuniambia kuwa anakiwanja sehemu fulani.

Wala sikuwahi kufikiria kuwa ipo siku tutakwenda kuishi huko, kutokana na maisha tuliyo kuwanayo kwa wakati huo.

Lakini maisha yalitupeleka huko baada ya miaka kadhaa
 
Mimi haya kwangu ni maeneo ya hovyo ambayo siwezi kukaa

Mbagala
Kiwalani
Buza
Temeke
Vikindu
Vingunguti
M.nyamala
Tandale
Magomeni
Manzese
Tabata ToT
Chang'ombe
Buguruni

Haya maeneo kwangu ndo maeneo ya hovyo kabisa nakerwa na tabia za wenyeji na pia nakerwa na ujenzi mbovu wa wenyewe pia nakerwa na narudia ni tabia za wenyeji za maeneo haya wana tabia ambazo zina kila dalili za umasikini umasikini tu tabia ya kuridhika na mambo ya hovyo hovyo tu.

Kwa upande wako unadhani ni maeneo gani ya hovyo huwezi kukaa?
In this life there is no permanent address tek that!
 
Kaka ninavokukubali ila leo hii unatuponda namna hii hatukupanga kuzaliwa Temeke sisi Mungu ndo kapanga😭😭😭
uhovyo utoke wapi? temeke inamiliki sehemu ya bandari, vyuo vikuu viwili, DUCE na TIA kambi za jeshi na police uwanja wa Mkapa na uhuru tunamiliki kiwanda cha bia kwa kiasi temeke kunauwekezaji usiohama acheni zenu.
 
Acha dharau wewe! hizo sababu zako ni za ulimbukeni tu!
Hivi ungejikuta umezaliwa huko ungesemaje! Kwa taarifa yako kuna wastaarabu na kuna wengi unaowaona wa maana wametokea huko! Eti wenyeji wa huko wana tabia zenye dalili ya umaskini umaskini tu! mweeeh Hebu tuambie huko unakokaa wewe ni wapi kusiko na maskini! Na wewe ni tajiri kiasi gani???? unamiliki nini cha zaidi ya wakazi wa huko?? acha hizo!
Tanzania Watu, tunapakana ujinga sana, wenye pesa zao, huwezi kuta anaandika ujinga huu, ukimfuata huyu akuonyeshe cha maana alichonacho, utakuta ni hiyo Smart ya tecno tu.
 
Maeneo yalio wilaya za Ilala, Temeke na Kigomboni.
 
Kwa kweli Masaki ni eneo la hovyo sana....siwezi kabisa mm kuishi kule
 
Unaweza kutoka huko....
Sawa naweza mkuu nawaachaje wengine kumbuka nitakuwa mkimbizi hadi lini kwanini watu wenye ideology kama mimi ambao nao wanaishi uku uswazi tusishirikiane ili wanaokuponda siku nao waamie uku tukipabadilisha na sio kupakimbia.
 
Sawa naweza mkuu nawaachaje wengine kumbuka nitakuwa mkimbizi hadi lini kwanini watu wenye ideology kama mimi ambao nao wanaishi uku uswazi tusishirikiane ili wanaokuponda siku nao waamie uku tukipabadilisha na sio kupakimbia.
Utabadilishaje huko.mlikosongamana hadi kukosa hewa safi? Huko mnakoishi mkitazama vinyesi kutwa nzima?
 
Dar es Salaam yote, kama si mzaliwa wa huko si sehemu ya kuishi. Dar is a business City. Kama nio mfanyakazi kaa Dar with a plan in mind kwamba nikijaaliwa kustaafu salama, makazi yangu ya kupumzika ni either Morogoro vijiini, Ifakara, Tukuyu, maeneo ya Uyoleuyole, Marangu, Kilema, Manyovu, Uvinza, nk. Dar ni sehemu ya kutafuta, 25-60 years. Short of that you're doomed!!
Upo sahihi mkuu, Dar si mji wa wazee, wajanja wengi wamestukia hii technic.
 
Back
Top Bottom