Taja mambo unayotamani kuyafanya lakini unashindwa

Kpujenga kajumba kangu simple ila kazuriiiii

Kuzaa watoto wwili/watatu baba yao mmoja bila commitment ya ndoa

Kusafiri duniani huko
 
una mawazo mengi tajiri na ni mazuri nimeyapenda, je unaweza fafanua zaidi hapo kwenye vyakula kwanini unapenda hivyo tu?
 
Natamani kuacha mjani lakini nikitaka kuacha nakosa kampani.
Mjani usiache hauna shida mbona sema tu Kama Una roll mixer punguza deal na dry af pia kunywa Maji..naamini mjani Ni Dawa ya kuleta akili
Pass the joint
 
Kutengeneza dawa ambayo mtu akinywa akiwa mdogo iwe kidonge au sindano maisha yake yote akijamba kijambo kisiwe na shombo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…