mkuu unayajua mashona nguo?
yale majani yake ndio mbogaHii nayo mboga?
yale majani yake ndio mboga
oh kumbe😄😄.Kumbe tunakula dawa bila kujuaHiyo kwetu ni dawa ya vidonda.
oh kumbe[emoji1][emoji1].Kumbe tunakula dawa bila kujua
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kabisaUmeona eeh,
Tumewashtukia halafu tunakomaa nao
mapolindoliTaja mboga za asili zisizo pungua 2 na zisizozidi 3 (za ukanda wenu huko)
Wale waliokuwaga "geti kali" mtupishe kidogo 😂
Naanza mimi;
Lets go!!
- Mlenda
- Nsasa
MhilileMhiriri
Ipogo hii mboga?Mhilile
Ipo mkuu telee kipindi hikiIpogo hii mboga?
Ipo mkuu telee kipindi hikiIpogo hii mboga?
mapolindoli
Zote za kuokoteza bila shaka wewe mzaramo kulima ndio shidaMgagani
Tunguja
Mchunga
Mkunungu